Wema Sepetu "Madame" Fans' Special Thread, Njooni tukutane hapa

Wema Sepetu "Madame" Fans' Special Thread, Njooni tukutane hapa

Sipati picha siku akija jukwaa la Siasa atakavyo kimbizwa hahahhaha

lakini ninacho msifu ana mchango mkubwa sana kwenye jukwaa hili maana yeye ndio amechangia limekuwa moja ya majukwaa ambayo mtu uwezi kuacha kupita hata kama hutochangia.....sasa hivi ni Moja ya majukwaa jf yenye jam la kutosha!
umbea ni afya unavirutubisho vyote kama unga wa uji wa lishee
 
Yapo ipo tayari binamu, we endelea kuchemsha tu hyo dawa ukimaliza nambie

Subiriiii
Binam ushakula ban hhhhhhhaaaaaaaa na safari hii sikuteteiii ufunguliwe ukomeeee
 
Back
Top Bottom