Wema Sepetu, Mr. Blue, TID, Recho wahusishwa na Dawa za Kulevya. Watakiwa kuripoti kituo cha Polisi

Nawasiwasi kuwa wewe ni mhitimu wa kidato cha4 Shule ya sekondari Kitonga/ kidete
 
Tanzagiza kama itaendelea kuwa na watu kama ww
 
Wanacheza tu na akili za waTz.
Ina maana hao maaskali wameshindwa kuwataja watu wanaowasaidia?? Ina maana intel imeshindwa kutuletea mapapa ina leta hawa kajamba nani??

Hizi ni kiki zisizokua na tija
Tutajuaje kuwa rais wa dsm karudi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
TID ndio nani?
BABU WA KITAA?
CHIDY BENZ?
MR BLUE?

KWELI HUYU NI MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM,NA SHULE ZAKE!
 
Unaweza kuta child Benz hamjui mkuu wa mzigo , unakuta yeye ananunua kwa MTU wa 3 au 4
Akitupeleka kwa mtu WA nne, mtu huyo WA nne atatupeleka kwa mtu WA 3 naye WA tatu atatupeleka kwa mtu2 chain itaenda hadi kwa boss mwenyewe....!!
 
Mwenye majina yote ayaweke maana yameanzia nusu
 
Hii sinema sijaelewa. Polisi wanatambulishwa kwa namba zao sio a.k.a. Utampata nani kwa staili hiyo.
 
Makonda wanyooshe hao wavulana wa dar UKimaiza Waambie na Ma Rc wa MiKoani na wenyewe waamKe Hahahaha.. Bado Nausingizi NgoJa niendeLee
LaLa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…