NO04
JF-Expert Member
- Jun 29, 2015
- 1,754
- 1,241
nami kaniudhi asee. udini...udin.Please usitake kuharibu thread. Mods mko wapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nami kaniudhi asee. udini...udin.Please usitake kuharibu thread. Mods mko wapi?
Amechelewa nini? Makonda is just a regional commissioner na ame-dare kuufanyia kazi mtandao wa madawa ya kulevya huku akiwataja askari wanaojihusisha na biashara hii haramu halafu unasema amechelewa! JE YULE KIONGOZI MKUU KABISA ALIEONDOKA MADARAKANI NA MAJINA YA VIGOGO WAUZA UNGA MFUKONI NAE UTASEMAJE! HUKU YEYE ALIKUA NA MAMLAKA YOTE! Fikiri kabla hujaandika upuuzi humu. GO MAKONDA GO mbili ilianza na moja huo ni mwanzo mwemaMkuu wa Moa amechelewa kwenye hili, linahitaji utekelezaji wa haraka kunusuru kizazi hiki!
umemaliza??Tunapozungumzia "mtandao" wa wauza unga ni "mtandao" wa dunia nzima,maana YULE BOSS MKUU WA HUKO SIJUI U.S AU MEXICO ATAJUA KABISA KWA SASA MTEJA/WATEJA WANGU WA TZ HAWANUNUI UNGA KWANGU KWA VILE KUNA MSAKO MKALI ULIOANZISHWA NA MUHESHIMIWA FULANI,NA WAO HAWAKO TAYARI KUONA MAUZO YAO YAMESHUKA HATA SIKU MOJA NA WAKATI WANAJUA KABISA SABABU YA KUSHUKA NI FULANI,NA KAMA UNAVYOJUA WAUZA UNGA AKILI YAO ILISHAOZA SIKU NYINGI MAANA WANAJESHI HALAFU HALITUMIKI SANA KWAHIYO VITU KAMA HIVI NDIO HUWA SABABU YA KUJARIBIA WANAJESHI WAO.
Hii nimeipenda, na ndio njia pekee tutafika, tutoleane aibu, tuondoe urafiki na kujuana.
Vipi chid benzi, vipi na hawa wengine ambao inasemekena ni wauzaji nguli. ?
kwa mantiki hiyo majambazi wanaokamatwa na silaha nao wasitangazwe kwakuwa hawajawa proven/hukumiwa na mahakama kuwa ni majambazi.... kutaja sio kosa ndugu.... na watuhumiwa sio wahukumiwa na ndio maana kawaita kukutana nao kituo cha polisiSijapenda njia ilo tumika inawachafua...
Unaweza kuaita kwa siri kuwahoji...kukiwa na ushahidi ndio utangaze...kwa njia hii kama hakuna ushahidi basi hii ji kesi ya kuchafuana na madai
ni aya ndogo lakin umenena kila kitu. well saidPaulo anakuwaga mawazo yenye tija kwa kizazi hiki na kijacho kuna muda anajitoa ujinga kabisaaa mpk mi nywele znanisisimkaga inakuwa vigumu hata kuamin km ni drama Angeondoa na mabuibui ya siasa kichwani angekua mashuhuri kuliko hata bwana huyu anyway huyu ndio wakumeongezea dozi ya maombi this time ili adhma hii ya kulinusuru taifa na vijana lifanikiwe
Si kweli kila kutaja ni udhalilishaji... hata jambazi aliyekamatwa na silaha (before kuhukumiwa na jaji) nae amedhalilishwa kama unacho amini kina ukweli ikizingatia wengi wao ushinda kesi... Its ok kutaja mtuhumiwa.Watanzania wengi watasherehekea habari kama hii,lakini kwa ukweli dhana ni kitu kibaya sana,kama mtu hajakamtwa na ushahidi wa kufanya hayo mambo ya madawa ya kulevya basi ni kosa kumtaja jina lake ,huu ni udhalilishaji wa haki ya mtu..
Nafikiri nchi yetu ina vyombo vinavyohusika na makosa kama haya,kwanini mkuu wa mkoa haachii hizo mamlaka zikafanya kazi yake...,Tanzania yunakwenda wapi,kama polisi wanaushahidi kwanini hawawakamati hao wahusika na kuwapeleka mahakamni...
Sawa, tusubiri tuone mwisho wakeyou are just being too negative.. not because makonda hafanyi kitu ila ndivyo ulivyo... the boy is trying his best... na tofauti yako na yeye ni kwamba u are not mkuu wa mkoa ila mshangiliaji na mtoa negative comment.... God bless makonda kwa kujaribu
Haiko hivyo, hizi ni hofu zisizokuwa na msingi. Stori za vijiwe vya kashataTunapozungumzia "mtandao" wa wauza unga ni "mtandao" wa dunia nzima,maana YULE BOSS MKUU WA HUKO SIJUI U.S AU MEXICO ATAJUA KABISA KWA SASA MTEJA/WATEJA WANGU WA TZ HAWANUNUI UNGA KWANGU KWA VILE KUNA MSAKO MKALI ULIOANZISHWA NA MUHESHIMIWA FULANI,NA WAO HAWAKO TAYARI KUONA MAUZO YAO YAMESHUKA HATA SIKU MOJA NA WAKATI WANAJUA KABISA SABABU YA KUSHUKA NI FULANI,NA KAMA UNAVYOJUA WAUZA UNGA AKILI YAO ILISHAOZA SIKU NYINGI MAANA WANAJESHI HALAFU HALITUMIKI SANA KWAHIYO VITU KAMA HIVI NDIO HUWA SABABU YA KUJARIBIA WANAJESHI WAO.
Politics, not factsNchi haina sheria,huyo wakili atambiwa na yeye anahusika,hushangai wanadungwa wabunge waliochaguliwa na wananchi kwa kesi zisizo mbele wala nyuma
Am not saying lazima afanikiwe ila atleast tuwe positive... he is trying.... na tuko pamoja tunajua uchafu na ugumu wa hii nchi... yes ni kambwa kanakobwaka but atleast anajaribu... tumpe support hata kwa sala na maombiSawa, tusubiri tuone mwisho wake
Haiko hivyo na haijawahi kuwa hivyoTunapozungumzia "mtandao" wa wauza unga ni "mtandao" wa dunia nzima,maana YULE BOSS MKUU WA HUKO SIJUI U.S AU MEXICO ATAJUA KABISA KWA SASA MTEJA/WATEJA WANGU WA TZ HAWANUNUI UNGA KWANGU KWA VILE KUNA MSAKO MKALI ULIOANZISHWA NA MUHESHIMIWA FULANI,NA WAO HAWAKO TAYARI KUONA MAUZO YAO YAMESHUKA HATA SIKU MOJA NA WAKATI WANAJUA KABISA SABABU YA KUSHUKA NI FULANI,NA KAMA UNAVYOJUA WAUZA UNGA AKILI YAO ILISHAOZA SIKU NYINGI MAANA WANAJESHI HALAFU HALITUMIKI SANA KWAHIYO VITU KAMA HIVI NDIO HUWA SABABU YA KUJARIBIA WANAJESHI WAO.