John Cannor
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 1,464
- 1,825
Mr Blue...
Ukikutwa huna hatia wapige hela kubwa ya kukudhalilisha, Harry Samir
Ukikutwa huna hatia wapige hela kubwa ya kukudhalilisha, Harry Samir
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chikilia[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Amewaja Kwa majina? Na kama kweli amewachikilia hatua gani?
Domo na vpMbona hajamtaja Kiba ???
Mr Blue...
Ukikutwa huna hatia wapige hela kubwa ya kukudhalilisha, Harry Samir
Mbona makonda anapata shida wakati kuwakamata wauza unga ni rahisi sana??
Kwanini asimkamate chid Benz amwambie nani alikuwa anamuuzia unga?..hapo atapata msururu mzima hadi kumfikia boss kabisa!
Shemeji wa Diamond jamani.
Madam anakula sembe au anauza sembe sijselewa hapo
Na dada alikomaa, sasa anaishia kulea mtoto wakati Petit anapetiwa na Kajala.Labda kwa haya ndio maana Diamond hakutaka amuoe dada yake.
Tembea ujionee,usibishe bila kuwa na ushahidiPolitics, not facts
Hivi yule jamaa nae alikuwa anatumia?Babuu wa kitaa so amepata Kazi anatangaza clouds TV, kipindi cha tegua mtego,
Madawa ya nini sasa
hivi jina lake anaitwa nani?Aibu kwa clouds media mfanyakazi wao babuu wa kitaa kuhusishwa na biashara hii haramu
Chidi ni mtumiaji sio pusha (muuza)Sijamuona Chid Benzi hapo
Na dada alikomaa, sasa anaishia kulea mtoto wakati Petit anapetiwa na Kajala.