Kuishinda jamuhuri?[emoji23] [emoji23]Huo "mtandao" si watu wa spoti spoti.
Ushaanza kuzeeka? Kiwango kinapungua? Nimeamini no situation is permanent!Duuuuh mbona sijaipata hii? Hatari yaja.
Ingetoka kwa mange wema hapo asingekuwepoHii list inawezekana mkuu wa mkoa alishuka nayo kutoka Unyamwezini baada ya kuonana na Mange Kimbambi.
Tatizo la Jamuhuri ni watu na sio maroboti,ni kama wewe na mimi ambao wanatamaa zao kama hao Polisi waliotajwa hapo ni fedha yako tu unaweza kuwanunua.Kuishinda jamuhuri?[emoji23] [emoji23]
Na hio jamhuri askari wake nao wameusishwa eti!Kuishinda jamuhuri?[emoji23] [emoji23]
Hapa nimekupata kinomaDogo Hamidu - Wanaosniff na kusmoke mi ndo nawacontrol
All the above.Madam anakula sembe au anauza sembe sijselewa hapo
Nyandu Tozi=Dogo HamiduMr. Blue sizani
yani unamuacha Nyandu Tozy unamkamata Blue?
Usiogope wema atamtaja tu salaah kama anauckaAanze na salaah wa GSM
Maana hata kina wema wanatumwa na huyu jamaa
Ova
Hapo inabidi apatiwe ulinzi wa aina mbili.. Ukitegemea huu wa kuonekana tu, watatumia njia nyingineNimekaa natafakari UHAI wa "lais wa dalesalama" ulivyo mashakani kwa hiki kitu alichoamua kudili nacho.
Washukuru katajwa huyo tuAibu kwa clouds media mfanyakazi wao babuu wa kitaa kuhusishwa na biashara hii haramu