Wema Sepetu, Mr. Blue, TID, Recho wahusishwa na Dawa za Kulevya. Watakiwa kuripoti kituo cha Polisi

Wema Sepetu, Mr. Blue, TID, Recho wahusishwa na Dawa za Kulevya. Watakiwa kuripoti kituo cha Polisi

Unaweza kuta child Benz hamjui mkuu wa mzigo , unakuta yeye ananunua kwa MTU wa 3 au 4
Huo ndio mnyororo tunataka, hata akiwa anapata kwa mtu wa nne, akionyeshwa kazi huyo mtu wa nne atataja mtu wa tatu, akionyeshwa kazi mtu wa tatu atataja mtu wa pili kwa vyovyote vile.. Katika hili lazima ukatili wa hali ya juu utumike kama itakavyohitajika!
 
Duuu
 

Attachments

  • IMG-20170202-WA0012.jpg
    IMG-20170202-WA0012.jpg
    97 KB · Views: 57
Mh makonda ni kiongozi mzuri sana, sema hatumpi ushirikiano sijui kwanini!

Na siku tukimpa ushilikihano mzuri na wakutosha tunaweza kumtumia vizuri na tukafikia lengo hasa sisi vijana nguvu kazi ya Taifa na wana Dar es salaam.
 
Mkuu wa mzigo kumpata ni kazi asee,ukute chid anachukulia kwa recho,msambazaji!.ila ao polisi wapigwe lifeban kabisa.Nawaza tu.
Yani iwe anachukulia mzigo kwa mtu hata wa kumi au ishirini,kumpata mkuu wa mzigo bado ni rahisi tu..ni uamuzi tu!
 
Akitoa taarifa katika kipindi cha infomer cha clouds FM kufuatia msako wa kukamata wahusika wa madawa ya kulevya alichofanya mkuu wa mkoa Paul makonda.

Askari 9 wamekamatwa wakishirikia na wauza madawa ya kulevya
Huku wasanii watumiaji wa madawa hayo wakitajwa na kutakiwa kuripoti polisi wenyewe mapema ,

wasanii waliotajwa na kutakiwa kuripoti polisi ni
1. Wema sepetu
2. Petiman wakuache
3. TID
4. Mr. Blue
5.Recho(kizunguzungu)

SOURCE; Clouds FM (Informer)

Mkuu wa Moa amechelewa kwenye hili, linahitaji utekelezaji wa haraka kunusuru kizazi hiki!
 
Back
Top Bottom