Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,517
- 9,762
Kwani vijana ndiyo wanaruhusiwa kuangalia watu wanaoenda uchi wa nyama, umetukosea sana sisi vijana
Kama mnajifanya kukasirika iweje mtembee uchi wake kwa waume? Utamkuta binti amevaa sketi fupi mapaja yote yapo nje au amevaa suruali hadi ngozi yake ya ndani inaoneka au matiti yameachwa wazi, kijana wa kuime anavalia suruali mapajani kiuno chote unakutakimefunikwa na chupi sasa tukiwasema mnakasirika nini?