Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya mambo zamani tulikuwa tunaita ukahaba na ilikuwa ni aibu sana kwa mwanamke kubadilisha wanaume kama shati. Siku hizi imekuwa ni ujanja na kuna makundi ya watu kwa maelfu yanafuatilia na ku-admire. Kweli wakati ni ukuta. BTW Huyu Wema tayari ni kibibi. Kwa wanawake walioko kwenye hili game la ''ukahaba wa zama za sanyansi na teknolojia'', muda wake umeshapita. Damu changa imechachipuka na wanaume hawana huruma hata kidogo wameshamkacha kiana. Sasa wamebaki kina ''mzee fisi'' kukomboleza mabaki.Siku hizi akili za watoto wa kike ziko makalioni na sehemu zao za siri, inasikitisha sana.
Chali Cha Mende, Ndembendembe!!Kwishaa habari yake
AlooooAcha tu lemme kip kwayati[emoji38][emoji38][emoji38]
Mwambieni whozu atumie kondomu ya bati
Atanishukuru baadae
"End of an era"
Huo ndio UKWERIIII au nasema uongo ndugu zangu???Chali Cha Mende, Ndembendembe!!
🙄🙄 Khaa! HatariWe dogooo uko Wapi shogaa!wameachana mdaaa sanaa after kupata mtoto,Tunda Yuko na meja kunta anajiita Mrs Khaleed!
Diva the bawse au yupi?Leo mjini kumewaka moto... ya wema hayajaisha gigy na diva nao wanaparuana
Yani mchawi bando langu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]