Alioverstay america hukoo,wakamrudisha ndo maana hakanyagi TenaAhamie wapi? Marekani alikichafua, wanasema alitembea na mume wa dada Ake, wakamreport, akawa deported!
Halafu ahame nchi Ili tozo tukatwe peke etu? Tubaki wote hapa hapa.
Angeenda ata ulaya bwana ajipange upya akishayapatia maisha ndo arudi Kwa ukubwa aliokua nao na alivyo Sasa dharau zinakua nyingiAhamie wapi? Marekani alikichafua, wanasema alitembea na mume wa dada Ake, wakamreport, akawa deported!
Halafu ahame nchi Ili tozo tukatwe peke etu? Tubaki wote hapa hapa.
Idris, Kanymba na mondi ndio bado alikuwa hotHaya dada yenu na kapo zake zile zilizojulikana tuu hapo,picha kwa hisani ya studio, hapo hayupo chaz baba,TID,mr blue,Clemence,Luis munana,calissa,yule walofunga mpk ndoa ya kiislamu nani yule ...nk...nk...
View attachment 2373125View attachment 2373128View attachment 2373131View attachment 2373134
Dubai je? Wanaenda hadi kina lokole ila yeye sjamwona na tupicha twa dubaiAlioverstay america hukoo,wakamrudisha ndo maana hakanyagi Tena
Ni wa hapa hapa na China
Hizi ndio Zama ambazo huyu mtoto alikuwa wamoto sana wasanii waliandika verse kumsifia. Waliomfaidi huyu mtoto ni Chief wa Msoga, Mr.Blue, Clement Ikulu, Mondi alimalizia malizia tu. Kipindi kile mtoto ana mzigo wa kwenda πππ!
Whozu kadandia mtumbwi wa vibwengo hakiyanani!
Zi
Kadandia mtumbwi wa vibwengoWhozu AMEYAKANYAGA.
[emoji23]Kadandia mtumbwi wa vibwengo