BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,767
- 23,198
Wema products? Mmh sidhan kama ni za huyu mama ubaya maana tungejua kabla hata hazijatoka kwa promo za misukule wake kule insta
Huyu mama ubaya atakuwa karogwa, yani kumpata yule zumbu kuku clement yeye cha maana alichokifanya ni safar za dubai na china na kufanya shopping za mil 200, yani wema ana pepo la sifa za kijinga, aya sasa hizo shopping za dubai sasa ivi anazisikia tu kwenye mitandao
Kwani yeye ni barabara au mtoa ugali tuseme asipomsamehe hali hatembei haendi choo.
Walimtukana weeee.
Mijitu mingine bwana kujiona mungu watu.
Wanaume wenyewe wa mjini kila mtu analala naye.
Atagombana na wangapi???
#he he he kantangaze
Basi sijui zitakua za nani hizo products
Ika namhurumia sana wema... akija kushtuka tayari too late..na ndomo mwenyewe atammwaga maana ndomo anatafuta kick tu
Natamani kuongeza milk stout ya tano na kiroba cha burudani wine
Ha ha ha yule mjanja bwana.....sema nae anazidi kukauka jaman!!!Nuru ya kyln inapotea sijui kwann wakati ana pesa za kutosha tu!!!
Wema products? Mmh sidhan kama ni za huyu mama ubaya maana tungejua kabla hata hazijatoka kwa promo za misukule wake kule insta
Huyu mama ubaya atakuwa karogwa, yani kumpata yule zumbu kuku clement yeye cha maana alichokifanya ni safar za dubai na china na kufanya shopping za mil 200, yani wema ana pepo la sifa za kijinga, aya sasa hizo shopping za dubai sasa ivi anazisikia tu kwenye mitandao
Umaarufu alionao wema angekuwa nao jokate, jojo angekuwa mbali sana tena kimataifa, sema mama ubaya akili hana kazi wanaume tu na kucheza vigodoro, hizo products ntazifanyia kazi nione ni kampuni gani
Ha ha ha yule mjanja bwana.....sema nae anazidi kukauka jaman!!!Nuru ya kyln inapotea sijui kwann wakati ana pesa za kutosha tu!!!
Na yule anayeweza kweli, we mtu vichambo vyote vile tena vya haja mtu bado anapata nguvu za ku post instagram mmh kweli mange ni mafia, sio jambaz kwel hili, maana kuna siku nilisikia saut yake nusu nikimbie alivyokuwa na mbezi
sisi tunaona maisha yao ya nje tu binamu, ila bidada ya ndani anayajua yeye, maisha kashayapatia sema ana mzigo mzito sana kaubeba ukilinganisha na umri wake, utakuta ana majanga mazito sana ukilinganisha na tabasamu analolitoa kwa watu, sema wabongo tunaona pesa tu mengine hawayaoni. Hakuna kitu kibaya kama mgogoro wa nafsi, bora uchambane na akina chausiku kule manzese lakini sio mgogoro wa nafsi, unaweza kufa
Jamani ndugu yangu umri nao.
Au umesahau kuwa siku hazigandi?
Jamani ndugu yangu umri nao.
Au umesahau kuwa siku hazigandi?
Binamu mie nakumbuka shopping ya mbwa na jumba la 400 m.
Wakati , wenzie ndomo kila akipata lazima amfurahishe mama yake yeye mashosti na kuingia bills kujiita pedeshee wa kike kumwaga hela.
Khaaaa mie najichekea tu hapa.
Kwani si angemsamehe bila kwenda magazetini, huyo naye ovyo
Umaarufu alionao wema angekuwa nao jokate, jojo angekuwa mbali sana tena kimataifa, sema mama ubaya akili hana kazi wanaume tu na kucheza vigodoro, hizo products ntazifanyia kazi nione ni kampuni gani
Binamu mie nakumbuka shopping ya mbwa na jumba la 400 m.
Wakati , wenzie ndomo kila akipata lazima amfurahishe mama yake yeye mashosti na kuingia bills kujiita pedeshee wa kike kumwaga hela.
Khaaaa mie najichekea tu hapa.
Hilo nalo neno binamu maana yule nae kijeba kiama, toka enzi za nalia machozi ya furaha na bushoke had leo yupo vile vile, mmh mwenzenu atumii DODO yule binamu, vipodoz vyake anashindana na akina beyonce sasa akina mama mwajuma ndala ndefu kutwa caro light uso umezeeka kabla ya mwili
K-lyn mwenyewe njaa tu ndo inamfanya azeeke kabla ya siku zake, we unafikiri hatama kuwa na kijana mwenye musuli kama wangu. Anakufa kibosi na tai shingoni, mkae mkijua kuishi na kizee ni stress tupu. We fikiria kibabu kikivua kaptura ------ yamenyauka kama ugali wa muhogo, na ujue hapo ndo anakufuata wewe kitandani, loh salalee, adhabu gani hiyo?
Kah kumbe huwa ana libezi binamu ulimsikia wapi na ana roho ngumu.kweli.maisha yenyewe magumu hataacha kukomaa kweli.na kutafta pesa