Wema Sepetu: Sina Mpango wa kuzaa

Umeona enh me naona kajidharirisha tu hayo yote angekaa nayo moyoni kwakweli...

Anaumia watu wanavyomsema vibaya kila siku, kaona bora ayatoe ya moyoni, ila kuwa tasa sio dhambi

Majaribu kwa mtu sio kama ametenda dhambi ila ni kikombe tu ambacho kila mtu lazima akinywe
 
Wanataka mwenzao azae wakato hana ndoa eeeh

Mitanzania ni mipumbavu kupita maelezo, simshauri mwanamke yeyote kuzaa kabla ya ndoa labda afikishe miaka 40 na hajaolewa hapo ni sawa kama ataamuwa kuzaa.

Nchi hii mijitu inazidi kuwa masikini kwa kushabikia mambo yasiokuwa na kichwa wala miguu.
 
Mitanzania ni mipumbavu kupita maelezo, simshauri mwanamke yeyote kuzaa kabla ya ndoa labda afikishe miaka 40 na hajaolewa hapo ni sawa kama ataamuwa kuzaa.

Nchi hii mijitu inazidi kuwa masikini kwa kushabikia mambo yasiokuwa na kichwa wala miguu.

geniveros nifah sinyoritah Evelyn Salt mpoo? Sio maneno yangu hayo,maneno ya binamu
 
Last edited by a moderator:
Mitanzania ni mipumbavu kupita maelezo, simshauri mwanamke yeyote kuzaa kabla ya ndoa labda afikishe miaka 40 na hajaolewa hapo ni sawa kama ataamuwa kuzaa.

Nchi hii mijitu inazidi kuwa masikini kwa kushabikia mambo yasiokuwa na kichwa wala miguu.

nifah geniveros Evelyn Salt sinyoritah mpooo?
 
Last edited by a moderator:
Mitanzania ni mipumbavu kupita maelezo, simshauri mwanamke yeyote kuzaa kabla ya ndoa labda afikishe miaka 40 na hajaolewa hapo ni sawa kama ataamuwa kuzaa.

Nchi hii mijitu inazidi kuwa masikini kwa kushabikia mambo yasiokuwa na kichwa wala miguu.

Mkuu mbona una lugha ya chooni sana?

Mitanzania na wewe included,dada mama baba nk zako....infact u are eating your own sh.it right there!

Na unavyoita wenzako masikini,wewe una outstanding liquid kiasi gani?Its very funny na vigari vyako vya kijapan,kinyumba kipo skwata baaasi unaita the rest of Tanzania masikini....u got problems brotha!
 

Kama yamekuuma chukuwa mto na shuka nenda Mandela road katandike ulale, shwain wahed kabisa.
 
Amuoea nani? Labda martin kadinda

Duh na anavyo wakumbatia, walalia, wabusu kama vile watoto wadogo qanachezesha toi zao zifanye hivyo.

Ila duh Chibu alivumilia maajabu, ndio maana yupo happy now.

Na maisha ya Chibu ndio yanamuuma Wema na baada ya Chibu kusema redioni jinsi alivyo na Zari na kutegemea mtoto hapo ndio kaona basi so now kutafuta kiki kwa kuonewa huruma

Kesho/keshokutwa products zitatoka anauza watu hao kununua.
 
Ila alikosea mwaka jana kujibu watu kwa kusema mbwa ndio wanawe na hataki kuzaa.

Jana katibua vumbi kwa kumpa hongera mtu na kusema nilisikia unamimba na hongera kuzaa my mdogo... huyo mdogo hamuonani mji mmoja kashusha misifa kibao vizuri ndio ikawa duh...

yote haya maisha ya Chibu now yanamkimbiza ameona harudi tena na kamsikia kwa redio. inauma jamani her ex anapaa
 
Mitanzania ni mipumbavu kupita maelezo, simshauri mwanamke yeyote kuzaa kabla ya ndoa labda afikishe miaka 40 na hajaolewa hapo ni sawa kama ataamuwa kuzaa.

Nchi hii mijitu inazidi kuwa masikini kwa kushabikia mambo yasiokuwa na kichwa wala miguu.

Umemaliza yote.
:thumbup::thumbup:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…