Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
ha ha ha tumezaa kabla ya ndoa ushauri wako baba nanii au tungezichomoa ili tungoje ndoa???
Lakini umeelewa nilichoakiandika? Wema hajafikisha hata miaka 30 namuunga mkono asizae kabla ya ndoa, madhara ya kuzaa kabla ya ndoa tumeshayajadiri sana humu JF, kwa aliyezaa nje ya ndoa imeshatokea ila ambaye hajazaa bado asifanye hivyo.
Mwenye masikio na asikie mimi ni Mwanaume nazijuwa feelings zetu acheni kudanganyana.