Wema Sepetu: Sina Mpango wa kuzaa

ha ha ha tumezaa kabla ya ndoa ushauri wako baba nanii au tungezichomoa ili tungoje ndoa???

Lakini umeelewa nilichoakiandika? Wema hajafikisha hata miaka 30 namuunga mkono asizae kabla ya ndoa, madhara ya kuzaa kabla ya ndoa tumeshayajadiri sana humu JF, kwa aliyezaa nje ya ndoa imeshatokea ila ambaye hajazaa bado asifanye hivyo.

Mwenye masikio na asikie mimi ni Mwanaume nazijuwa feelings zetu acheni kudanganyana.
 
Aende uko, anaitamani sanaaaa anafikiria kua mama ni mchezo? Kazinyofoa mimba weee sasa kabaki kulea mbwa, hajui huyo mbwa pia Ana mamake au kamzaa yeye shankupe huyo mbele kauza nyuma kaweka rehani atajibeba.....

Ee jaman acha basi we nanihii
 
Eti.."vanilla is my bby.." nyonyonyonyonyooooo...ptfyuuuuuuuuuu..huna hata haya..kwani umeshindwa kumchukua mtt ktk kituo ki1 cha kulelea watt ukamlea km kweli wajua kulea ww..? Wee sema una mpenz dog..not a bby bich..!!
 

Ha ha ha ha nipe rahaa jaman nami nikupe raha, jf bwana
 
Eti.."vanilla is my bby.." nyonyonyonyonyooooo...ptfyuuuuuuuuuu..huna hata haya..kwani umeshindwa kumchukua mtt ktk kituo ki1 cha kulelea watt ukamlea km kweli wajua kulea ww..? Wee sema una mpenz dog..not a bby bich..!!

Mrembo by Nature uko wapiiiiiiiii? Ahahahahajaaa unalooo uko ulipo
 
Last edited by a moderator:

Bambieeee hao, Evelyn Salt msg delivered, geniveros upooo??
 
Last edited by a moderator:
hii sredi inanikumbusha ule wimbo wa Mgumba ulioimbwa na Tamtam Muumini...."iyee iyeeee jamani mi matatizoo iye iyeee"

NANI ANAUKUMBUKA?
 

Maisha ni kupanga na kupanga ni kuchagua. Hajakosea.
 
Ivi Matola kuna nyimbo moja iv ya zamani, wanaimba ivi

Wanawake wazuri wazuri wameolewa, wamebaki manunga maembe wanahangaika, sijui unaipata? Eti Evelyn Salt unaikumbuka?
 
Last edited by a moderator:
Ivi Matola kuna nyimbo moja iv ya zamani, wanaimba ivi

Wanawake wazuri wazuri wameolewa, wamebaki manunga maembe wanahangaika, sijui unaipata? Eti Evelyn Salt unaikumbuka?

Binamu mfyuuu zako., ivi unajua hata useme nini hakuna mtoto haramu?
Heshima ya ndoa haifanyi mtoto akawa haramu.
Mfyuu zako mmeacha kujadili pwanya road mmeanza kujadili uumbaji wa Maulana.Sasa kuna imani ya watu wengine wambeya wote ni haramu unakubaliana na hilo?
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…