Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
ha ha ha tumezaa kabla ya ndoa ushauri wako baba nanii au tungezichomoa ili tungoje ndoa???
Mkuu....shukuru sana nime reserve my comment!
Aende uko, anaitamani sanaaaa anafikiria kua mama ni mchezo? Kazinyofoa mimba weee sasa kabaki kulea mbwa, hajui huyo mbwa pia Ana mamake au kamzaa yeye shankupe huyo mbele kauza nyuma kaweka rehani atajibeba.....
Mkuu mbona una lugha ya chooni sana?
Mitanzania na wewe included,dada mama baba nk zako....infact u are eating your own sh.it right there!
Na unavyoita wenzako masikini,wewe una outstanding liquid kiasi gani?Its very funny na vigari vyako vya kijapan,kinyumba kipo skwata baaasi unaita the rest of Tanzania masikini....u got problems brotha!
Eti.."vanilla is my bby.." nyonyonyonyonyooooo...ptfyuuuuuuuuuu..huna hata haya..kwani umeshindwa kumchukua mtt ktk kituo ki1 cha kulelea watt ukamlea km kweli wajua kulea ww..? Wee sema una mpenz dog..not a bby bich..!!
Lakini umeelewa nilichoakiandika? Wema hajafikisha hata miaka 30 namuunga mkono asizae kabla ya ndoa, madhara ya kuzaa kabla ya ndoa tumeshayajadiri sana humu JF, kwa aliyezaa nje ya ndoa imeshatokea ila ambaye hajazaa bado asifanye hivyo.
Mwenye masikio na asikie mimi ni Mwanaume nazijuwa feelings zetu acheni kudanganyana.
Bambieeee hao, Evelyn Salt msg delivered, geniveros upooo??
Katika page yake ya instagram, super star wema sepetu aka mama ubaya amewataka wote wanaompigia kelele kuhusu kuzaa mtoto wamkome, kwani hana mpango huo kwa sasa. Hiki ndicho alicho kipost
"Okay... Lets get things straight here.... See dat doggie up there... Y'all see her....? Dat is my bebi.... since i dont have a bebi... Huyo ndo mtoto wng... Basi sasa nitapopost afu nisikie kuzaa nakublock fasta... Mshaniona sizai basi ndo mjue sizai... Akha...!! Zaa zaa... If u have a child im happy for u... Nd wish u da best... I dont... Ndo mungu alivyonipangia... So please hey.... Watakaozaa all da best... Walio na mipango ya kuzaa hongereni... Mimi sina ... Im done... Vanilla ndo bebi wangu kipenzi na nampenda kuliko.... Na wale wa subhannah llah pia nisiwaone... This is getting too personal sasa...
Bambieeee hao, Evelyn Salt msg delivered, geniveros upooo??
niko ndoani now naenda mwaka wa 3 ujue
hahaaaaaa na kwenye ndomuachana nae kiberenge huyo watoto wake kila siku anawamwaga bafuni ha ha
mamaeee mbn sie kuzaa inakuuma ha ha ha ha
hahaaaaaa na kwenye ndomu
Ivi Matola kuna nyimbo moja iv ya zamani, wanaimba ivi
Wanawake wazuri wazuri wameolewa, wamebaki manunga maembe wanahangaika, sijui unaipata? Eti Evelyn Salt unaikumbuka?