Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Ivi Matola kuna nyimbo moja iv ya zamani, wanaimba ivi
Wanawake wazuri wazuri wameolewa, wamebaki manunga maembe wanahangaika, sijui unaipata? Eti Evelyn Salt unaikumbuka?
Sio maneno yangu jaman, maneno ya Matola hayo, mie njumbe hvoooo, njumbe hauwawiiiii
Binamu mfyuuu zako., ivi unajua hata useme nini hakuna mtoto haramu?
Heshima ya ndoa haifanyi mtoto akawa haramu.
Mfyuu zako mmeacha kujadili pwanya road mmeanza kujadili uumbaji wa Maulana.Sasa kuna imani ya watu wengine wambeya wote ni haramu unakubaliana na hilo?
hahaaaaaa na kwenye ndomu
Ivi Matola kuna nyimbo moja iv ya zamani, wanaimba ivi
Wanawake wazuri wazuri wameolewa, wamebaki manunga maembe wanahangaika, sijui unaipata? Eti Evelyn Salt unaikumbuka?
ye mwenyewe anakunywa uji bado ha ha ha tena wa shkamooNaahangaa? Kwani mmewah kumwomba hela ya uji?
Binamu hao wanaitwa Ngoni tribe, ila mbona naona kama unanichonganisha na maswahiba wangu?
Binamu hao wanaitwa Ngoni tribe, ila mbona naona kama unanichonganisha na maswahiba wangu?
Binamu hao wanaitwa Ngoni tribe, ila mbona naona kama unanichonganisha na maswahiba wangu?
Mfyuuu to you tooo... binamu niache ujue? Aliyekwambia umbea haramu nani? Basi kama ni hvyo dunia nzima sie haramu, maana ninavyojua mie umbea ni ugonjwa wa taifa
Huyu binamu alishasema alifukuzwa kazi kwa muhindi kisa uchonganishi.
Naona sasa yupo kazini
naikumbuka....we mwenyewe nungaembe tu ha ha ha umeoa???
Aiseeee Umeongea bhanaaJamen mama ubaya si useme tu huna kizazi looh, nyoo ebu tupishe apa
Hv kwa dunia ya ss kuna mtu hataki mtoto kweli?Aseme tu kizazi ashampa mbwa kala au ashatupa chooni.