Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Binamu ni wewe au kuna wema ndio anatumia account yako?Hicho kingereza baadae ututafsirie
Warumi utamuwezaaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binamu ni wewe au kuna wema ndio anatumia account yako?Hicho kingereza baadae ututafsirie
Binamu ni wewe au kuna wema ndio anatumia account yako?Hicho kingereza baadae ututafsirie
Eeh wewe unadhan kwa nn watu wananikubali? Nimeenda shule binamu, naelewa psychology, najua kucheza na akil za watu, najua nn watu wanapenda, mie ndo warumi Mbea bei mbaya apa mjini aka first class, hahahh ahaha
Nilijuaa tu ukija hapa lazima utuvurugee vutugueee
Heheeee ntoe mie mamiii nna katoto kammoja kakutolea jina la ugumba, pia naenda tafuta kapili sasa kwiii kwiiiiii
Ila wema mbona kasema kwa kuumia sanaaa sisi wanasaikolojia wa umbea tumeliona hilooi atakua na probleme ya kizazi kumeza sperm
Halaf madam mrembo ukome kutuandikia gazeti sie, ahsantee
Ndio binamu, kuolewa ina heshima yake haijalishi huyo mwanaume ana kipato kizuri au lah, ukiwa kwenye ndoa tu watakuheshimu, utaitwa mke wa mtu au mume wa mtu.
Wadada wengi wanaozaa nje wanadharauliwa sana kwa kweli
Hahahahahahahahahahaha nafwaaaa mie... Dinazarde wangu weee hili la vizazi kubinuka hata halikuhusu mwaya wapo wahusika. Wema alisema kwa hasira kwani ni muda watu wanamwambia eti azae as if kuzaa ni kukojoa kwamba kila mtu akojoe tu ovyo. Yamemfika kooni ni Kama alivyojibu ile ya kajala kumuajiri.
Halaf mrembo siku hizii huangalii notification eeeeeee,wamkome kumwambia azae kwan watamsaidia kumlelea mwanaaa
Ila atazaa tu subirini Vanilla akue. Nakuwa busy wakati flani ila pia Natumia simu mara nyingi so haioneshi ushirikiano vizuri kwenye swala notification.
Warumi utamuwezaaaaa
Eeh wewe unadhan kwa nn watu wananikubali? Nimeenda shule binamu, naelewa psychology, najua kucheza na akil za watu, najua nn watu wanapenda, mie ndo warumi Mbea bei mbaya apa mjini aka first class, hahahh ahaha
Kwa hiyo atazaa kambwa kengine etiiiiiii
I think this is feminine stuffs, eeh let me stay out of this cuzzo..
But wema kaongea very deep kwa kwel hadi anatia huruma. It pains
We Dina tazaeje mbwa sasa... Atazaa katoto kazuriiiii km wewe apo
Hahaha usikae pembeni muonee huruma mtoto wa mwenzako. Mkimuandama Sana siku utakuta amezaa na babako alafu ndo mama mdogo tena sijui utakimbia au
Warumi anakunyaliiii weweee ndio maana kajitoa fastaaa
Haha ukweli basi unemkimbiza