Wema Sepetu: Sina uwezo wa kuzaa

Wema Sepetu: Sina uwezo wa kuzaa

Ningekuwa na uwezo wa kuzaa ningekuwa nimezaa muda mrefu sana... But sina... Na siwezi kumkufuru mwenyezi mungu.... Au mngependa niwe nawaambia jinsi ninavyo hangaika usiku na mchana kupata mtoto wangu mwenyewe... Is dat wat u want...? kila ntakachofanya kwa ajili ya tumbo langu basi nitangaze... Au mnadhani siumii mnavyosema kuhusu maswala ya mtoto😞😞😞... Kumbukeni na mimi pia ni binaadam... Nina moyo kama nyie... Au mnadhani napenda kuona wenzangu wana watoto au wana ujauzito alafu mimi sina hata wa kusingiziwa... Mnaona nafurahia sio.... Hivi mna nini jamani... Yaani mtu unaweza weka post kwa nia nzuri then people jus come from nowea wanaanza kukuandikia maneno ya kukuumiza kabisa nafsi hadi mtu unakaa unajiuliza umemkosea nini mwenyezi Mungu... Kwani kuna niliemkosea yoyote mpaka muanze tu kunikashif na kunitolea maneno mazito namna hio... Kisa mtoto... Mnadhani naipenda hii hali... Hata mimi natamani kuitwa mama na hakuna kinachoniuma kama hicho.... So mnadhani sijui kama umri unaenda na maisha yenyewe sikuhizi mafupi anytime we die... Mnafikiria nisingependa kuacha hata ka copy kangu siku ndo Mungu anasema ananichukua... Hata mimi natamani ningekuwa napiga picha niko na mwanangu... I want dat with all my life but I cant.... Sitokaa nimkufuru Mungu wangu hata siku moja maana sijui ni kitu gani kaniandikia... But just dont rub it in... It hurts... And im jus a human being like each and everyone of u.... 😔😔😔

SOurce: Instagram

Aache kulalamika! Angekuwa na mume ndo aombe Mungu mtoto! Anaomba mtoto kupitia mahawara au waume za watu......? God is not that cheap Wema!
 
Hiv mnadhan mtu kukosa kuzaa ni kisa katoa mimba kuzaa majaliwa kama we umejaliwa mshukuru mungu usitus wenzio
 
Hivi kwnn mnamchanganya mwenzenu....!!?

Hivi hata akimuamini Mungu tuuu atazaa bila kufanya sex au kuwa na Mume...!!!?? Sasa hivi Wema hana mume...Diamond kamwacha...sasa ATAZAAJE..!!?

YEYE atafute mwanamme afanye nae doggy style siku za hatari atashika mimba....

Sijui kwnn watu wagumu sana kufundisha watu wenye shida...unakuta mtu ana tatizo..badala ya kulitatua kwa njia sahihi ndio unampotosha kabisa...eti afunge na kusaliii tuuu...eboo..sala inaleta mimba..!!?

Kakwambia hana mume waloolew na hawana uwezo wa kuzaa wao nao vip mamtu sijui mkoje kaaa mungu awaone tu huenda mtabadilika
 
Niliongea sana humu kina Heaven on Earth kina show me na wengine wakaniona mimi mkuda....Acheni kutoa mimba ...mwishoni yatawakuta kama ya huyu...mimba saba zote mtu unatoa.....utazaa tena>?
 
Last edited by a moderator:
This is a joke.Simwonei huruma na sidhan kama she meant it.

hapana best sidhani kama anatania, kama sikosei mwishoni mwa mwaka jana kuna mtu alishawahi muuliza kwenye one of her post kwanini hatafuti mtoto wake?? akamjibu wema yeye mwenyewe, akamwambia sio kwamba sitafuti tatizo kizazi, japo hakusema kizazi kinatatizo gani, so i guess anatatizo kweli. kwani sio mara ya kwanza kusema hana uwezo wa kuzaa
 
Kwaiyo Ommy anapanda mbegu kwenye mwamba?
 
Amejuaje kama hawezi kuzaa wakati hajaolewa? Wema nakushauri uolewe and then ukikosa mtoto ndo uje tukushauri zaidi. Unaweza kuwa hujapata mtoto labda kwa sababu unafanya uzinzi na Mungu hapendi.

Hivi we ni Great Thinker??

nani kakuambia ukishaoa au kuolew Tatizo la Kutozaa Linapotea.. Ndoa ni ALama Tu kama Wema Kashasema ameangaika Kutafuta Mtoto usidhani kuolewa ndo Solution

By the Way Nani ataoa? Wakati ameshafunguka Kuwa hana uwezo huo.. bora Angekuwa ndani ya Ndoa Halafu ya Kikristo. Ila kama Ni muislam Taraka nje nje
 
laana ya diamond hiyo!!mara oooh!platinum hana uwezo wa kumpa mtu mimba!leo hii wameanza kucomfess kwamba hawana uwezo wa kushika mimba na bado watayaongea yote.

Na kama kweli hana uwezo wa kushika mimba basi pole!!mbwembwe zote zile za kumpa CHIBU likizo kumbe jikoni kumeungua
 
Back
Top Bottom