Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,585
- 15,468
kiki tu hyo hapo hamna lolote!!
Kiki.com
I love spotlight-Wema
Nyie zaeni mie bado mdogo.
Kwani nimeolewa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kiki tu hyo hapo hamna lolote!!
macho yananitisha 🙈🙈
Kiki.com
I love spotlight-Wema
Nyie zaeni mie bado mdogo.
Kwani nimeolewa?
Hicho kipara kama marehemu babu.
Maneno huumba nani alie kuambia huna uwezo wa kuzaa?kama ni daktari je awezaje kua na uwezo wa mungu?je wa mwamin mungu?bc kwa mungu hakuna umri wa uzee ipo siku mungu atakuonesha kwamba ni yeye ila ushaur mwamin mungu wako utende ya kumpendeza naye atakupendezesha kwa kilio chako kwake ili nawe uwe na raha uliokua una lilia
mnnh teamzari watamtukana leo pole zake
Kiki.com
I love spotlight-Wema
Nyie zaeni mie bado mdogo.
Kwani nimeolewa?
mungu ni waajabu sana unaweza ukapewa yai1 tu basi..kanumba alikubahatisha wema ila ukachoropoa saiv ndo ivo tena
Meek Mill said:![]()
Find a woman that you think is strong enough 2 help you takeover the world wit you! #hood #sexy #dimepiece #swimingpool #hustler #flymouth #richatheartandatpocket #beast #hitta #potna #imlucky @nickiminaj
haya maisha ya kutukanwa na kudhalilishwa ndio aliyo ya chagua na ndio matunda yake..akitaka kuondokana na haya matunda ni kubadili aina ya maisha anayo ishi na anatakiwa kuchora mstari kati ya maisha yake na maisha ya mitandao..
Yaan bora angenyamaza maana dogymasta atatukanwaa mno unajua dogy anamfanya wema atukanwe mnoo
Wema ana sumbuliwa na maisha yake ya mtandao ndio maana ana tafuta huruma...yani atalia sana kama asipo chora mstari...........
Kweli tupu mateneger wanampotosha huko insta aache maagizo stress za daimond na Zari Zina changia akue
Wasanii wetu wakibongo wanatatizo lakusoma walichosema mashabiki, ndomana alwayz wana end up with pain, jaribu kuangalia wasanii wetu wambele wanachofanya mfano Meek Mill
kapost picha ya mpenzi wake Nicki minaj hii apa
Walichosema baadhi ya mashabiki angekua kama ni Nuhu Mziwanda kapost picha ya shilole ndo kaambiwa hivi angevunja ata simu, kwasabu yakupenda kufuatilia comment za mashabiki.
Lakini wenzetu wa mbele ata hawagive a shit with fans, ila hawa Wakina sepetu mpaka wafuatilie wee ndo yanawakuta kama haya.
na atatukanwa sana pole zakeYaan bora angenyamaza maana dogymasta atatukanwaa mno unajua dogy anamfanya wema atukanwe mnoo
Kiki.com
I love spotlight-Wema
Nyie zaeni mie bado mdogo.
Kwani nimeolewa?