Lakini followers anawataka insta....., zero brainMuigizaji maarufu nchini asiyekaukwa na scandal, wema Isaac sepetu, hivi karibuni ameibuka na kuwataka wote wanaotumia mitandao ya kijamii kumsapoti( team wema) kuanzia Leo waache kwani hawajui na wamekua wakimuaribia sana maisha yake, mrembo huyo aliendelea kutiririka kuwa team hizo zimekua zikimgombanisha na watu wengi na kuwa asilimia nyingi ni wanafiki, hivyo amewaomba wote wanajiita team wema waache mara moja na waanze kutumia majina yao kwenye mitandao ya kijamii.
Naona unatoka povu bila kujua point yangu.Sasa kiba kashasemaga ana team?!!
Au wapi umeona kiba anaentertain hizo team!!
Acha mambo za kitoto hata km humpendi kiba sio kwa hvyooo!!
Tuacheni beef za kipumbavu na chuki za kijinga!
Only Kiba ana team kati ya wasanii wote wa bongo?!!Naona unatoka povu bila kujua point yangu.
Maana yangu ni kwamba kuna team zinaundwa bila wenyewe kujua ndio maana wema kazitolea uvivu.
Kuna team Kiba huku mtaani nayo aitoelee uvivu sio kuiacha inamharibia soko.
BTW sina bifu na Kiba, then who am I kwa Kiba? Its just ushauri.. Sometimes soma vizuri dada.
Mbona mimi sioni pejini kwake kuna blank page au wapi wajamenii kabla ubuyu haujageuka uji wa mgonjwa?Nimeona katukana hayo matusiii ahahhahah
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]hhhahhahhahha mkuu ningekukosa kwenye mzoga huu bas ujue haufai uko poa lakin?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] balaa[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hawezi kuwa poa kwa kweli
We mwenyewe si unaona hapo
Rusha basi tuthbtshe...!Ahahahahah nimeona nimecheka hatarii et hata hajui hao timu wema walitokeaga wapi hajui origin yao ,aiseee kajua kunikomeshea mbwa haya kwa hiyo na mrembo by nature katoswa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] balaa
Hahaha umeimiss eee hahaha nenda kw baby_ake au dullasquare utaiona yooteKeshaifutaa..hakuna aliyeidakaa?!
Nenda kwa baby-ake utakuta ubuyu....Mbona mimi sioni pejini kwake kuna blank page au wapi wajamenii kabla ubuyu haujageuka uji wa mgonjwa?
Halafu weweee![emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Hawezi kuwa poa kwa kweli
We mwenyewe si unaona hapo
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kuna mwingine kashamvuruga na tim kiba huko. Jamaa kapewa vipande vyake hatari.
Yaani leo ni shida
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] balaa
Wema tatizo lake anataka kunyenyekewa kama Mungu Mtu31k views
Like
- mangekimambi_Dogo unless Kama umeamua Kuwa madam Kama dadako hutaki Tena ustaa basi usiongee Maneno Kama haya. Hawa Team Wema Ndo wanaokufanya unakuwa Wema.. They are your fans. Bila fans you are not a star.
.
.
Team Wema ilianza because watu walikuonea huruma sana baada ya kurekodiwa na Dai na Penny ile ya na utuache tulale.seriously hakuna star bila fans. Hata Beyonce ana team yake wanaitwa 'beyhive' hao ni noumaaa. Mchokonoe Beyonce uone uwiiiii wanang'ata Kweli Kama nyukiii.Nakumbuka the new song ile part ya Becky with the good hair huyo dada waliemuhisi Ndo Becky with the good hair alijutaaaaaa humu insta.. hao Beyhive walimtusiiiiii bila kosa, dada wa watu wala hajawahi Kuwa Na Jay Zee.Hii juzi Lemonade kukosa award hao Beyhive wamekinukishaaaa.Wewe fans wako ni Kama wa Beyonce wanakupenda mpaka wamepitiliza na hao team Wema Ndo wanaokufanya unaendelea Kuwa Relevant .Ngoja wakuchunie Kweli Kama unavyotaka uone Kama hujapotea kwenye ramani.
.
.
mwenye kosa ni wewe. Hawa tema Wema hawajakuharibia Maisha yako, wewe umeyaaribu mwenyewe Kwa kuji associate personally Na team Wema. Hata siku moja Huwezi muona Beyonce Eti kawa personal friend Na mmoja wa beyhive wanaotukana watu online au birthday ya Beyonce Huwezi kukuta Eti kawaalika hao Beyhive wanaotukana watu kwenye mitandaoni Kwa ajili yake, Kwahiyo hakuna Mtu anaemchukia Beyonce Kwa ajili ya fans wake.Ila wewe mdogo wangu unakuwa friends Na hawa team Wema. Una waacknoledge Mara uwa-wish happy birthday, Mara Uko nao close. Wengine mpaka wanakujua undani wako Kwa mffano Matty. Nampenda sana MAtilda Ila kumbuka Matty alikuwa anatukana watu Kwa ajili yako vibaya mnoooo then suddenly akawa your personal friend Kila Mtu anaona ni Mtu wako, that's why watu Wana kuunganisha Na matendo ya team Wema au wanasema unawatuma.Seriously watu wanatukana watu online for you then kwenye birthday yako unawaalika unadhani wewe hutokuwa responsible Kwa matendo Yao??Pls be like Beyonce anawapenda fans wake Ila Hana personal relationship nao. Ila wewe mdogo wangu Team Wema mpaka Siri zako wanazijua mkizinguana wanakuchambua kwelikweli..
.
.Team Wema wanakuingilia mpaka Maisha yako personal sababu wewe umewakaribisha into your life.- didahns@amidah_mahmood
- khadijaakadidebt wema dadangu u av to growup jiamulie mama dnt let ua mum akuamuliee sikwambie kwa ubaya lkn op u wont tek i kwa ubaya.
- cassie2nyiYe mwenyewe anajichanganya @nitter26
- loanyuniAisee una akili Sana