Wema Sepetu: Sitaki kusikia #teamwema, niacheni na maisha yangu

Wema Sepetu: Sitaki kusikia #teamwema, niacheni na maisha yangu

kwa sasa hana jipya kishaanza kuhangaika hizo timu alionywa toka muda zinamuharibia hazikuwa na manufaa zaid ya kumharibia hapo ktk hizo timu unaweza kukuta hakuna hata mmoja anaetumia product zake akibuni
hivyo hvyo unavyosema tena yy ndo anazinufainisha hizo team maana mtu anatafuta followers kupitia wema akiwapata anaanza kufanya bizness za matangazo!


Mwisho wa siku ananufaisha watu tu!

Mfano yule usipijipanga sasa hivi anafollowers laki 5 Ila wema ndo kampa kiki yote sasa hivi page yake ni mwendo wa matangazo tuu!

Wema anabaki haambulii chochote!
 
Bado Kiba nae ipo siku, team yake inamfanya afanye mambo kwa ushindani sio ubora kama tulivyomzoea.
 
Kwa mara ya kwanza nita follow page yake kumbe amekua sasa
Udaku wamepiga hela sana kwa kumchafua huyu dem
 
Bado Kiba nae ipo siku, team yake inamfanya afanye mambo kwa ushindani sio ubora kama tulivyomzoea.
Kiba wala hajawahi kufanya ujinha huo!

Acha chuki za kipumbavu

Kumbe nyie ndo mnakuza uhasama...!
 
hana lolote huyo wema ndo mnafiki namba moja!

tatizo la wema ni short temper kitu kidogo kashapanik anaropoka hakai kuwaza

Leo ndo anaona team wema wabaya..

Aseme ameishiwa kiki sasa hivi!!

Kila kitu kina mwanzo na mwisho!![emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]
Poleee.
Najua unavompenda wema mama

Hamia kwingine sasa
 
Hivi unafikiri kwa nini Wema kaona team haina maana?
Sasa kiba kashasemaga ana team?!!

Au wapi umeona kiba anaentertain hizo team!!

Acha mambo za kitoto hata km humpendi kiba sio kwa hvyooo!!

Tuacheni beef za kipumbavu na chuki za kijinga!
 
Back
Top Bottom