Wema Sepetu: Tabia karithi kwa mama yake?

Kweli mana ukikosana na bibi wanakutukana yeye n mjukuu wke mybi hpo umechelewa lipa kodi yao utajuta,hvi ana watoto wangapi huyu maza n wko wapiii

Wanne wakike.wawili nje...wawili dar...aliyeolewa mmoja tu anayeishi dar..wengine mmh
 
Huyo karithi kwa baba bora yke c huyu mpenda sifa za kijinga

Hivi angepata zali km la klyn kuzaa na kuishi na mzee machache. Au faraja kotta kuolewa na waziri ingekuajee sijui...angejituliza huenda nae angevuta muheshimiwa...pengine ht bakhresa lol....
 
Hivi angepata zali km la klyn kuzaa na kuishi na mzee machache. Au faraja kotta kuolewa na waziri ingekuajee sijui...angejituliza huenda nae angevuta muheshimiwa...pengine ht bakhresa lol....

Unajua kuna wanawake wamezalia kutoa burudani tu c kuolewa,huyu nani w kuoa hata huyo domo anajua hafai kua mke
 
Ndio unakuta mkwe hivi c ntatembea nae tu kwa tabia zke mana anaweza kukuambia mi najua mahaba kuliko mwanangu,akiona huelewi somo anakuvizia anakubaka chezea mnyaturu

Eti Kajala mshenzi na wazazi wake.....huyu mama mpuuzi.Kajala kama anajielewa arudishe hzo pesa.Tena kwa tarumbeta,upuuzi gani huo anafanya.
 
Eti Kajala mshenzi na wazazi wake.....huyu mama mpuuzi.Kajala kama anajielewa arudishe hzo pesa.Tena kwa tarumbeta,upuuzi gani huo anafanya.

Kajala alishalipa zaidi y hiyo hela c alitoa mbunye yke kwahiyo walimalizana
 
Nimemsikia amesema "mimi situmii mkorogo kama huyu mwanangu Wema"
 
Ila mimi mwenzenu nimeiona fursa, huyu mama anafaa kuwa spika ili akawadhibiti wale wanaotukana hovyo Mjengoni...ndio atawakomesha.....wakituma makombora, na yeye anatuma back...

Sipati picha siku Mheshimiwa fulani ametukana Mama atakavyoreact......wewe k....maako acha us..n.ge, kaa chini.
 
Mbunye kampa CK yy anatakiwa amlipe Wema pesa.

Utakuta ck ndio alimpa wema hizo hela pia cjui kma alikua deni kua atalipa,maza anauchungu sana n kajala mana utakuta alitegemea mengi toka kwa ck ungekuta nae ana harrier yke
 

Pangenoga bungeni hatari
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…