Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Wema alishiriki u-miss akiwa na miaka 17, ilikuja kugundulika baada ya wapambe ambao hawakupenda ashinde yeye walikuwa wanamtaka JOKATE, wakachunguza na kuweka wazi Lundenga alipata wakati mgumu sana maana VODACOM walitaka kufuta idhamini, Lundenga akatupa hayo madai na akaishia kusema tu 'HAYA MASHINDANO YANAENDESHWA KWA GARAMA KUBWA SANA TUACHE WIVU" waka acha kubatilisha matokeo lakini wema alikuwa under age kushiriki umiss
Hivi Ni Kweli Wema Ana Miaka 26? Kwani Anavyogombea Umiss 2006 Alikuwa Ana Miaka Mingapi? Kwa Nini Mnapenda Kuonekana Wadogo Wakati Ni Vibibi Vikongwe.
hata mimi nakumbuka hilo sekeseke la umri wa wema kuwa under age alipopewa taji, hata me nimeshangaa kusema ameturn 26 while from 2006 with that 17 now ni 25, ukubwa wa umbo tu.
Na mambo.....
kwa kweli wema kazidisha pu.mbu na mkorogo jamani yani nyama zake ni full michiziri na mtepweto ataachaje kuzeeka auche umri nyuma.
Hivi Ni Kweli Wema Ana Miaka 26? Kwani Anavyogombea Umiss 2006 Alikuwa Ana Miaka Mingapi? Kwa Nini Mnapenda Kuonekana Wadogo Wakati Ni Vibibi Vikongwe.
Ndo hvyo tena.......Ndo aendekeze pumb.u mpk k itoe gesi
hahahahaa miss strong try to be light kidogo jamani ngoja team ikuskie
Acheni kutetea ujinga mama mtu mzima kama huyo maneno hayo kumtoka anawafundisha nn watoto na wajukuu?pia alivyomtukana Kajala na wazazi wake kajala ndio alimtengenezea picha ya uchi? Na huyo mume mwanae aliyechukuliwa hio ndoa alifungia wapi?
Huyu mama ni balaaaaa......
Paula kilaki huyo hapo team wemaa au leo kawageukaaa
Paula kilaki huyo hapo team wemaa au leo kawageukaaa
jamani mumsameheni huyu bibi kama mnavyomsamehe Le mutuz maana Le baharia na huyu mama rika moja.
Team mavi wako wapi?