Wema Sepetu: Tabia karithi kwa mama yake?

Funga fungua mtoto hulingana na mzazi wake hata tabia, wengine huchukuliana hata mabwana. Sioni tatizo kwa aliyoyafanya kwani zafanaba
 
Ha ha ha, kibababa na kimamama wamecheza pamoja.

Hivi mtu mzima unakuaje n mazoea na mabinti mpka ujue cjui team dengue,itakua mama n mtoto wke wanaambiana ujinga real wema hajitambui,cku akishtuka anaweza kunywa sumu cku zote sifa c nzuri.
Ni kma tajiri ukiwa n wapambe hta ukijamba watasifia ila filisika wao ndio w kwanza kusema yule boya kala mtaji
 

Mama ki ukweli alitakiwa akae mbali na haya mambo ya kipuuzi ya huyu bintiye amasivyo yatakuja kumletea matatizo kama yaliyomtokea kipindi kile.
 
Mama ki ukweli alitakiwa akae mbali na haya mambo ya kipuuzi ya huyu bintiye amasivyo yatakuja kumletea matatizo kama yaliyomtokea kipindi kile.

Maza gumegume limekubuhu mtu ana umri mkubwa ila hana adabu,bibie ni mzee sugu ana kamusi y matusi
 
Maza gumegume limekubuhu mtu ana umri mkubwa ila hana adabu,bibie ni mzee sugu ana kamusi y matusi

Mara ya kwanza alivyowekewa papuchi ki ukweli niliumia sana, nikasema upumbavu wa Wema unamsababishia mama yake udhalilishaji.Kwa sasa nimegundua wale watu hawakukosea kumuingiza huyu mama kwenye ugomvi wao.
 
jamani, pamoja na mapungufu ya tabia na malezi wema ni mzuri kwa jinsi yake, sema kajiharibu na mkorogo... kajala naye ni mzuri. urefu nao ni kigezo cha uzuri, maana wasichana wachache sana wamejaaliwa height za hivyo.

Aiseeeee
Kweli uzuri wa mtu upo machoni kwa mtu.

Yaani cjawahi ona uzuri wa wema zaidi ya hiyo wanayodai shape...nasema wanadai hivyo coz mi ht sioni
 

Mmmhhh
Sina.hakika
Bt nasikia alikuwa mufungua vizibo....ndo mzee akamuona akampenda....na alikuwa na mtt tayari huko kijijini kwao....so alipowekwa ndani akamchukua huyo mtt dada ake wema ambae yupo marekani....kwa leo naishia hapa
 

Hahahaa haaaa

Na kweli bongo kila kitu kinawezekana

Bt im sure wena elimu hana
 
Mmmhhh
Sina.hakika
Bt nasikia alikuwa mufungua vizibo....ndo mzee akamuona akampenda....na alikuwa na mtt tayari huko kijijini kwao....so alipowekwa ndani akamchukua huyo mtt dada ake wema ambae yupo marekani....kwa leo naishia hapa

Uliza vizuri mzee akiwa judge mwanza ndio alimpata huyo maza alikua house girl,huyo dada yke katumia fursa vizuri kuliko angebaki hpa
 
Sasa ndo ujiulize...km kweli alikua mke mwema kwanini asingeishi na mumewe Zanzibar....lol...ila watoto wa mke mkubwa kwa mzee sepetu wameenda shule...watulivu...kuna mmoja ni hakimu km sikosei huko zenji

Hyu c kuna muda alitengana na mumewe?
 
Hebu cheki hapa twenty4seven

Mwee hiv wema angekuwa kasoma hyu c angekuwa kwenye system!!?
Manaake baba alikuwa na jina ukizingatia bongo ni kujuana angekuwa mbali

Kweli upele humpata asiye na kucha.
 
Last edited by a moderator:
Wanne wakike.wawili nje...wawili dar...aliyeolewa mmoja tu anayeishi dar..wengine mmh

1 sio wa baba wema, 1st born alikuja nae baada ya kuolewa na baba wema
Ila na yupo nje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…