Upepo wa Pesa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 21,600
- 35,158
Wema ndo nani???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chaaaa kutokutulia kwake kunamfanya akose mume, kambadilisha had din mwanaume wa watu il aolewe and still kashindwa kutulia had kamwagwa...Muda gani unaoendaa? NDO MAANA NIKAKWAMBIA NYIE WASWAHILI? Obama raisi ana watoto 2 tu, tena mkewe aliwazaa kwenye 30s huko! Kim K kazaa 30s, Beyonce 30s, Rihana mwenyewe atzaa 30s.
Mtu kumpata sio swala la umri? Ni swala la bahati na rehema za Mungu. Kama Mungu hajapanga ampate kwenye umri mnaotaka nyie ndo hajapangaaa. Mda ukifika atapata kama Kim alivompata Kanye baada ya kushindwana na Chriss Humphris na wengine.
Kutotulia kupi? Kwanini akae kwenye ABUSING RELATIONSHIP? Mfano D alikuwa maluuni mbwa, always cheating! Mara Jojo, Penny, Menina, Irene, et al,ya nini kungangania mtu wa hivo? Ndo maana nikasema nyie ni wadada wa uswazi HAMJITAMBUI hata mwanaume akunyanyase vipi upo tuuu. Mwenzenu mtoto wa BALOZI ana exposure, hana sababu ya kunyanyasika kwa mwanaume yeyote yule. Mwanaume akizingua TUPA KULEEEEEEEEEE!Chaaaa kutokutulia kwake kunamfanya akose mume, kambadilisha had din mwanaume wa watu il aolewe and still kashindwa kutulia had kamwagwa...
Labda akakae nje ndyo aolewe na ndoa idumu ila kibongo bongo atatumiwa tu kama wengine so at least azae tu incase akiipata hyo mimba
Hahahahahhaha Mbona unapanikiii fasta mamaa mxxxy na biyatch nyingiii,mara ukumbushe yangu ya Jf,I have no regrets yapo anaetaka akafufue thread asomee sijazifuta,Hahahahaaaaa! Tatizo wewe unataka kuji separate na ushauri wako, which makes you a HYPOCRITE. Mwenzio nimeungana na ushauri wangu and i am credible to give it. NDO YALE WEWE HUJAZAA UNAMSHAURI MTU AZAE TU BILA NDOA. KWANINI USIANZE KUZAA WEWE? OOH MIMI KAJAMBA NANI! Mxiuuuuuuuuuuuu!
If Wema is a disgrace WHAT ARE YOU? Au unataka nikukumbushe yako ya humu humu JF? HAHAHAHAAAAAAAAAAAAA! Sitaki dhambi sahivi.
Wewe hufai kumpa ushauri huyo Wema hata na mtu mwingine yeyote...huna hicho kipajiWewe una mjua huyo Z? Mimi namjua Wema, she was my school mate. Ndo maana nimeamua kumshauri
Hahahahahhaha Mbona unapanikiii fasta mamaa mxxxy na biyatch nyingiii,mara ukumbushe yangu ya Jf,I have no regrets yapo anaetaka akafufue thread asomee sijazifuta,
Ishuuu ni kwamba unakataa kukubali ukweli kuwa wema ana matatizoo jamiii inamjua kwa sifa mbaya ukatae ukubali ndo ukweli,anataka ndoa Leo em niambie kwa tabia na sifa zile mwanaume yupi ataoa pale,anajitangaza wazi kabisa katoa mimba,ni sifa hiyo??af we unamwambia aendelee kusubiri tu,uzee unakuja urembo unaisha na tutamsahauuuuuu,
Anapokosea tuseme kabisa kakosea sio kuremba weee kila kitu yuko Sawa wakati ana mislead vitoto vingi mitaani humu vinaona maisha easssy kumbe sio
Unaumwa wewe...!!! Nipe hesabu kidogo. Ni watoto wapi wengi kati ya wale wa ndoa na waliozaliwa nje ya ndoa...!!! Halafu hata dogo akipita pale hamna shida inarudi kama awali sema tu siyo ktk ubikira...!! Then akizaa mara kwa mara ile kitu yake itakuwa active sana kadiri ya Darwin theory of use and disuse...!!! Kwani kuolewa ni kitu gani bwana. Watu wapo katika ndoa mwaka wa sita hawajagongana hadi leo na wanalala na nguo...!!!!SI TATIZOOOO, NDO MAANA NIMESIFIA NI MAMBA YETUUU WANAWAKE KWENYE KUZAAA. Aongeze hata 10, nchi huru hiii lakini sio kumsakama binti mdogo, hajaolewa yupo kwao azae. NDO MAADILI GANI HAYO SASA? NDO DINI ZINAVOTAKA HIVO MTU AZAE HOVYO HOVYO?
Unaumwa wewe...!!! Nipe hesabu kidogo. Ni watoto wapi wengi kati ya wale wa ndoa na waliozaliwa nje ya ndoa...!!! Halafu hata dogo akipita pale hamna shida inarudi kama awali sema tu siyo ktk ubikira...!! Then akizaa mara kwa mara ile kitu yake itakuwa active sana kadiri ya Darwin theory of use and disuse...!!! Kwani kuolewa ni kitu gani bwana. Watu wapo katika ndoa mwaka wa sita hawajagongana hadi leo na wanalala na nguo...!!!!
Lara 1 nakuhesab kama mwanamke kiazi sana humu jf.
Pia kuprent life badala ya kutafuta.
Wema mwenyewe yuko desperate and confused.
Na naamin ni witiri ama tasa....hana shufwa yule
Kweli mwalimu wetu kipofu, wema tunaona akililia mtoto hapa anaambiwa asizae.
Boss lady anawatesa mademu wa zamani, pamoja na kuzaa mara nne hata kama zipo zilizotoka huwezi mlinganisha na sepetunga.
Tena amshukuru platinumz aliyempa pesa ya kwenda kurepea ule mkorogo angeshaoza. Hata checkup tuone kama ataenda tena, pfuuuuuuu.
Una bifu na bosslady kisa anajitegemea, ana uwezo wake kifedha...workhard kuishi the way anavyoishi...chuki binafsi hazifai
Hahahhaha Kuna kapointi kazuri umekasema mwnyw hapo juuHahahahahaaaaaaaaaa! Mi sijapanic, wala sipanikigi humu hata siku moja. Maybe wewe ndo una unapanic! MAYBE. Kama hujapanic twende mdogo mdogo. Beach pleaseeeeeeee is a metaphor! Na inabidi isemwe kama ilivo.
Yako ya JF IS PART OF YOU! HAHAHAHAAAAAAA! Why have concerns with a PART OF YOU? Good that you have no regrets ili NITUMIE KAMA MIFANO HALISI TUPIME KATI YA WEWE NA WEMA WHO IS A DISGRACE.
Wewe unavomuona wewe ni combinationa ya maisha yako, elimu, exposure vyako wewe ambavo ni TOFAUTI NA MIMI, SO KAMWE HATUWEZI KUMUONA WEMA SAWA.
Na ukweli unaoona wewe sio lazima uwe ukweli kwa wote kama ulivomuona Money Stunna mzuri, si wengine tulimuona kawaida sanaaa. So usitufosi kuona mambo unavoona wewe.
Kutoa mimba kama wewe unaona sawa kuzaa mtoto umtese wengine tunaona bora uteseke wewe ila umuepushe mtoto na makosa yako ya duaniani. NI MAONA TU.
HATA WEWE UZEE UNAKUJIA, MIMI UZEE UNANIJIA SO WEMA HATOZEEKA PEKE YAKE, ATAZEEKA NA HIKI KIZAZI CHOTE. Sasa badala uwaze uzee wako unakomaa na uzee wa Wema. Hahahahaaaaaaaaaaa! PATHETIC.
vITOTO VINGI HUMU vikijukujaaaaaaa, vitaelewa naongea nini. HAHAHAAAAAAAAA