Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Leo tutawajua watumiaji wa Huawei na Tecno humu Jf kupitia hii thread...
KwNi uongo?? Galaxy utafanansha na tecno?? Kwa taarifa yenu tecno ni za africa tu..mbele hawazitambui
Hapa ndio utaona umuhimu wa kuwa na viakili vya ziada.....
Tecno na Huawei are becoming Big Players kwenye smartphone market duniani. Na their target market kubwa sasa hivi ni Africa. Celebrity(?) kama Wema ndio wanaotumiwa na haya makampuni for marketing, leo unaponda Tecno na Huawei, kesho wakitaka mtu wa kuwa front model wao utaitwa kweli?
Kuna umuhimu wa watu kufundishwa kuchunga midomo yao....
.Tayari,wana hasira balaaLeo tutawajua watumiaji wa Huawei na Tecno humu Jf kupitia hii thread...
Hata Aristote anatumia hizo simu?Umofia Kwenu wana Jamiiforums
Katika hali iliyoshangaza wengi,beautiful oninye mwenye endless fame mnyange Wema Sepetu amesema watu wengi wanaomsema kwenye mtandao they don't have life na wengi wao wanatumia Tecno na Huawei kulog in kwenye mitandao ya kijamii na kuanza kumponda, akichezesha taya na Ephraim Kibonde katika kipindi cha jahazi amesema watu hao hawampi shida hata kidogo kwani wamepigika na yupo juu zaidi yao.
My Take:Hivi Sister wema hizo simu ulizozidharau unazijua vizuri kweli? Hivi unaweza ku-compare features za Huawei Ascend P7/Tecno H7 na Samsung Gallaxy S4?
~~~~~~~~~~~~~~
Huawei Ascend P7
![]()
Tecno H7
![]()
Wema Sepetu Akiwa na Samsung Gallaxy
![]()
Ila wema alikua na nyodo mbwaa huyuu[emoji1][emoji2][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]ndo maana kalia alivoambiwa hana gari
Sasa kabaki na kichwa tu na mdomo ,hana tako,hana mwili,hana gari![emoji28][emoji28][emoji28]Mazereo kama yote Hahahaa!!
Na K yenyewe nayo hana,imebaki karai.Sasa kabaki na kichwa tu na mdomo ,hana tako,hana mwili,hana gari![emoji28][emoji28][emoji28]
Hivi mtu akikonda si na Nyama Nyama za K zinaisha? Ndo akitanua inalia Kama mlango ulokakamaa bawaba 😂😂Na K yenyewe nayo hana,imebaki karai.