Wema Sepetu: Wanaoniponda wengi wao wanatumia Tecno na Huawei

Wema Sepetu: Wanaoniponda wengi wao wanatumia Tecno na Huawei

Maskini team wema walikuwa na kikao jana wameanza kumtusi menina. Ujinga mwingine wema ndo nini jamani.
 
Maskini team wema walikuwa na kikao jana wameanza kumtusi menina. Ujinga mwingine wema ndo nini jamani.

Heeee hilo mbona lipo waziiii wamuwachee mtoto mbichiiiiiiiiiii yuleee Madame wao anachoka kila sikuuuu weraaaaaaa
 
C6 tusaidie hapa



My Take:Hivi Sister wema hizo simu ulizozidharau unazijua vizuri kweli? Hivi unaweza ku-compare features za Huawei Ascend P7/Tecno H7 na Samsung Galaxy S4?
~~~~~~~~~~~~~~
Huawei Ascend P7

sijui vigezo gani vitumike kulinganisha hizi simu na samsung galaxy maana hakuna ulinganifu wowote hapa

hapo labda unaweza shindanisha huawei ascend p7 na samsung galaxy s4 ila sio tecno,
 
aheri ya mie mwenye tecno nnaitafuta kwa ualimu wangu
je mpaka auze nyapu au kuhongwa pole yake
amenizidi umalaya,ufemasi na kuhongwa na mapedyee
ila nimemzidi kitu kikubwa sana elimu yangu haitoifikia ng'ooo
na hao wenye vitecno na huawei ndo mashabiki wake
ur super brain woman.. kula like 1000
 
huyu dada anatoa representation mbaya kwa wasichana wa kibongo sana...maisha yake ya kuigiza mno na ushamba mwingiii
 
sijui vigezo gani vitumike kulinganisha hizi simu na samsung galaxy maana hakuna ulinganifu wowote hapa

hapo labda unaweza shindanisha huawei ascend p7 na samsung galaxy s4 ila sio tecno,

Inategemea unalinganisha nini ila kwa features h7 ni sawa na s4 ila kwa p7 hiyo s4 haitii pua kabisa,hiyo h7 ni sample tu zipo zinazoizidi hiyo s4 hapa tunachozungumzia,wema kuponda huawei/tecno,swali je hakuna brands za tecno/huawei zinazoizidi s4 yake?
 
juzi ndomo kasema kazi ya moyo ni kusukuma damu, kupenda tunalazimisha tu, pale pale nikapat jibu, maana kusoma najua na picha nikaiona

Hahhha maskini jaman atakufa na kihoro huyo mama ubaya
 
Also known as Oppo Find 7
QHD GENERAL 2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900 - all models 3G Network HSDPA 850 / 900 / 1900 / 2100 - international model HSDPA 850 / 900 / 1700 / 1900 /2100 - Mexico & US model 4G Network LTE 800 / 1800 / 2100 / 2600 - international model LTE 700 / 1700 / 2100 - Mexico & US model SIM Yes Announced 2014, March Status Available. Released 2014, May BODY Dimensions 152.6 x 75 x 9.2 mm (6.01 x 2.95 x 0.36 in) Weight 171 g (6.03 oz) DISPLAY Type IPS LCD capacitive touchscreen, 16M colors Size 1440 x 2560 pixels, 5.5 inches (~534 ppi pixel density) Multitouch Yes Protection Corning Gorilla Glass 3 - ColorOS UI SOUND Alert types Vibration, MP3, WAV ringtones Loudspeaker Yes, with stereo speakers 3.5mm jack Yes
- Oppo MaxxAudio sound enhancement MEMORY Card slot microSD, up to 128 GB Internal 32 GB, 3 GB RAM DATA GPRS Yes EDGE Yes Speed HSPA+, LTE WLAN Wi-Fi 802.11 b/g/n, Wi-Fi Direct, DLNA, Wi-Fi hotspot Bluetooth v4.0, A2DP NFC Yes USB microUSB v2.0, USB On-the-go CAMERA Primary 13
 
Tobaaaaa. Bibi wema umetuchafua sio siri. Au kisa huawei zinaprom pale mlimani city?

Bora nyie binamu mmejinunulia huawei za promo kwa pesa zenu, maaana bibi yule hizo simu kali mpaka achokonelewe mbele na nyuma, sasa kujitesa uko kwa nini? Si bora nyie na tecno zenu insta mnaingia kama kawa,ebu atupishe apa
 
Bora nyie binamu mmejinunulia huawei za promo kwa pesa zenu, maaana bibi yule hizo simu kali mpaka achokonelewe mbele na nyuma, sasa kujitesa uko kwa nini? Si bora nyie na tecno zenu insta mnaingia kama kawa,ebu atupishe apa

Bina kuna HTC ni bonge la Cm.pia Sony ni nzuri kuliko hizo galaxy zao maana kila mtu anazooi piaa
 
Back
Top Bottom