Wema Sepetu: Wanaoniponda wengi wao wanatumia Tecno na Huawei

Wema Sepetu: Wanaoniponda wengi wao wanatumia Tecno na Huawei

juzi ndomo kasema kazi ya moyo ni kusukuma damu, kupenda tunalazimisha tu, pale pale nikapat jibu, maana kusoma najua na picha nikaiona

Bina aliyasemea wapi hayoo ilikuaje mpaka akasema hivyooo



OFF TOPIC
Diamond aacha msiba insta
hakupikwi hakuliki hakukaliki
bibi kaachika heheheyaaaaa
chezea menina mtoto kama
kajiumba clement pitisha
rehema yako anadhalilika
wema kahongwa na mkongo
kaenda kujishaua darlive naima
anakuchoraaa mjinga wewe
kujifanya una roho nzuri huna
kinyongo umbea tu katoe
misaada singida mjini kick
imeisha mcheck kay
amekukalisha diamond ndio
kiboko yako

Yaan natamani nifungue insta basii tu
 
Ndio kama signature ya Matola inasema KAZI YA MOYO NI KUSUKUMA DAMU KUPENDA NI KIHEREHERE CHAKO uwiiiii Daimond ni noumaaaaaaaa jamaniii kwa hiyo Wema uache ukiherehere

Watu wamemchamba, wamemwambia anajifanya ana hela wakt mpaka sasa iv anatumia galaxy toleo la zamani wakat kajala ana i phone 6, nimecheka kweli dah
 
Last edited by a moderator:
Watu wanafuata upepo,I phone nilitumia na hata sikuipenda kama ilivyokuwa blackberry 9800 ya kuslide,galaxy iko poa,but kuna makampuni ya simu hayajulikani na hata bongo hawauzo kivile,mfano Anglia kama Alcatel, ina simu za ukweli lakini hata haijulikani kivile,mi napenda kitu ambacho watumiaji wake wachache na si lazima kufanana wote

HTC pia wabongo hawajazijua kivile wengi wananunua majina na sio function
 
Watu wamemchamba, wamemwambia anajifanya ana hela wakt mpaka sasa iv anatumia galaxy toleo la zamani wakat kajala ana i phone 6, nimecheka kweli dah

Bina kumbe kweli wema kaachana na Domo, uwiiiiiiii
 
Umofia Kwenu wana Jamiiforums
Katika hali iliyoshangaza wengi,beautiful oninye mwenye endless fame mnyange Wema Sepetu amesema watu wengi wanaomsema kwenye mtandao they don't have life na wengi wao wanatumia Tecno na Huawei kulog in kwenye mitandao ya kijamii na kuanza kumponda, akichezesha taya na Ephraim Kibonde katika kipindi cha jahazi amesema watu hao hawampi shida hata kidogo kwani wamepigika na yupo juu zaidi yao.

My Take:Hivi Sister wema hizo simu ulizozidharau unazijua vizuri kweli? Hivi unaweza ku-compare features za Huawei Ascend P7/Tecno H7 na Samsung Gallaxy S4?
~~~~~~~~~~~~~~
Huawei Ascend P7

s0_phone_1.png

Tecno H7
tecno-h7-mobile-phone-large-1.jpg


Wema Sepetu Akiwa na Samsung Gallaxy
8a5dd4f0333511e3b59422000a9f13f8_7.jpg
Hizo simu ulizozitaja bado zipo chini kwa S4.

Sent from my SM-G800H using Tapatalk
 
kwa nani niende kuchungulia shostii

Sorry shost si kuwa online kwa i am_thre kachungulie.Ka sinema kakaendelea na yy akapost picha ya rangi nyekundu cjui alimaanisha nini.yakaja macoment ya kumwaga.
 
Nimenote kitu kila Birthday yake Nasibu anasherekea na demu mpya,kazi ipo
 
lolowapi hongera sana kwa kumtetea boss wako!!
 
Back
Top Bottom