Queen Kyusa
JF-Expert Member
- Apr 25, 2011
- 663
- 162
Maskini team wema walikuwa na kikao jana wameanza kumtusi menina. Ujinga mwingine wema ndo nini jamani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maskini team wema walikuwa na kikao jana wameanza kumtusi menina. Ujinga mwingine wema ndo nini jamani.
Shostito umenichekesha mbaya
C6 tusaidie hapa
My Take:Hivi Sister wema hizo simu ulizozidharau unazijua vizuri kweli? Hivi unaweza ku-compare features za Huawei Ascend P7/Tecno H7 na Samsung Galaxy S4?
~~~~~~~~~~~~~~
Huawei Ascend P7
ur super brain woman.. kula like 1000aheri ya mie mwenye tecno nnaitafuta kwa ualimu wangu
je mpaka auze nyapu au kuhongwa pole yake
amenizidi umalaya,ufemasi na kuhongwa na mapedyee
ila nimemzidi kitu kikubwa sana elimu yangu haitoifikia ng'ooo
na hao wenye vitecno na huawei ndo mashabiki wake
sijui vigezo gani vitumike kulinganisha hizi simu na samsung galaxy maana hakuna ulinganifu wowote hapa
hapo labda unaweza shindanisha huawei ascend p7 na samsung galaxy s4 ila sio tecno,
juzi ndomo kasema kazi ya moyo ni kusukuma damu, kupenda tunalazimisha tu, pale pale nikapat jibu, maana kusoma najua na picha nikaiona
Hahhha maskini jaman atakufa na kihoro huyo mama ubaya
Tobaaaaa. Bibi wema umetuchafua sio siri. Au kisa huawei zinaprom pale mlimani city?
Tobaaaaa. Bibi wema umetuchafua sio siri. Au kisa huawei zinaprom pale mlimani city?
Bora nyie binamu mmejinunulia huawei za promo kwa pesa zenu, maaana bibi yule hizo simu kali mpaka achokonelewe mbele na nyuma, sasa kujitesa uko kwa nini? Si bora nyie na tecno zenu insta mnaingia kama kawa,ebu atupishe apa
Ukiwajua then what next
Bina kuna HTC ni bonge la Cm.pia Sony ni nzuri kuliko hizo galaxy zao maana kila mtu anazooi piaa
Kwa hyo yy galaxy ndo kaona kafiks? Yan umalaya huu mmh
Dah bora mie mwenye Nokia ya tochi allhamdullilah..