Wema vs the chibu's ngoma inogile

Wema nae kazidi........aache kumfuatafuata Diamond.......ashike hamsini zake.........mbona kama anashindwa kumove on........
 
Wema nae kazidi........aache kumfuatafuata Diamond.......ashike hamsini zake.........mbona kama anashindwa kumove on........
Alichokipata kwa Diamond naona hajawahi kukipata tena popote pale
 
mbona kamjibu kiume tu bichau kaingiaje hapo...
 

Upo vyema maana miaka million nisingeelewa kilichoandikwa hapo
 
Tatizo wema hataki kuamini kama ndo kaachwa hivoo....anajisemesha semesha ili diamond asimsahau, ila bidada kwa kick hakunaga aseee..!
 
wema umri umekwenda japo anajiformat ili awe kijana lakini ndiyo hivyo mshale unakimbilia saa kumi jioni mtu mzima hovyooo, mambo anayofanya sasa hivi yangetakiwa yafanywe na mtoto wake .
 
wema umri umekwenda japo anajiformat ili awe kijana lakini ndiyo hivyo mshale unakimbilia saa kumi jioni mtu mzima hovyooo, mambo anayofanya sasa hivi yangetakiwa yafanywe na mtoto wake .
Kwani ana miaka mingapi kwa sasa
 
Atafute vizuri......mbona vipo vingi tu......tena vizuri zaidi.......tatizo lake anaenda speed.......
Ndo hivyo....inabidia aongeze speed ili awahi kukipata
 
Duu Aiseee nimekupata,picha kwangu zilikuwa hazifunguki,nakubaliana na zari kabisa,watoto wote wazuri na Kama unaona mtoto wa mwenzio mbaya Zaa wa kwako ,hahaaa mpambano mkali.
Huyu Wema ni mgonjwa kabisa hivi mtoto wa mtu una mtukana ili iweje?
 
Bora hata Jokate ana amani kidogo....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…