Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sa ukitumia dawa ya penzi hilo tumbo atalipatajeWema anitafute, mm napiga goli moja tu... mtoto anatoka kama mm baba yake copyright... pamoja na Wema ana matatizo ila mm nikimpiga 7.5 inch mua mmoja tu... TUMBO HILOOOOO... anitafute..!! Ila natumia condom...!!
Mh! Keshaambukizwa...@Evelyn Salt Zari nae ana madongo huyu mwanamke..Kashachukua uswahili wa Tandale
Ha ha ha ha ha alipewa kwenye kampeni lolNasikia ana mimba kweli alipewa kwenye zile KAMPENI ZA CCM....teh ..teh...teh...
Ni kawaida eneo ukipenda na ukaachwa lazima uumie. Hiyo ni kanuni ya maisha. Sisi wazee hatushangai.
Siku moja moja kujibu inapendeza, chaaa! Sio kwa uswahili aliouanzisha wema wa kurusha vijembe kwa diamond, kumbuka wema hajaanzia hapo, alianza na vile vijembe vya wanyama wote ndani balozi kasema, mara twendeni escape one tukaone tofauti ya msanii na mwanamziki, yote hayo diamond hakujibu, so binafsi nilipenda saana alivyomjibu, kwa hilo jibu moja tuu team wema woote wakapatwa na degedege. Yeye si anajiitaga mzungu uswahili hanaga?angenyamaza tu anazidi kujidhalilisha maskini, ila diamond nae angepotezea tu sema kaka angu yule mtoto wa tandale akasema ngoja amnyweshe juice ya ukwaju bibie dahhh wema atajibeba mwaka huu
Hakumuacha alimpa likizo bila malipo, On leave jamaa akapata kazi sehemu nyingineHakuachwa yeye ndo aliacha
Yani kwahili nimejifunza kwakweli sitakaa nitingishe kiberiti kwa mtu ninaempenda ntaishia kupata degedege kama wemaHakumuacha alimpa likizo bila malipo, On leave jamaa akapata kazi sehemu nyingine
Wema bado hajasuguliwa diamond alichemka sana
Umeonaee alileta zile za sekondari, baby tupeane likizo ya miezi 6, kuja kutahamaki baada ya likizo kuna mwenzako ana mtotoYani kwahili nimejifunza kwakweli sitakaa nitingishe kiberiti kwa mtu ninaempenda ntaishia kupata degedege kama wema
Acha tu aweweseke kwakweli, kibuti cha hivo kinauma mnoo afu unakua huamini amini kama ndio it's overUmeonaee alileta zile za sekondari, baby tupeane likizo ya miezi 6, kuja kutahamaki baada ya likizo kuna mwenzako ana mtoto
Amuoe mara ngapi? Ilishapigwa harusi ya kimya kimya tangu mwaka juziNimependa sana majibu ya shemeji yetu Zari,hakutukana mtu wala kuchombeza kaongea kistaarab but kahit kwenye jipu haswa...Zari ana busara sana kuliko huyo pashkenge la kitz...namshauri Diamond amuoe tu yaishe...