Wema we mzuri bana even without make up

Ni kweliii bila warumi au money stunna na baadhii hili jukwaa haliendii we unaona jukwaa lilivyochangamkaa hadi wa siasan wanahamia hukuuuu mchezooo umbeyaa mtamuuuuu



Acha unaa wewe hata hufai kwenye sekeseke unamwacha peke yake halafu hapa wajitia upande binamu hufaiii teh teh teh
 
Acha unaa wewe hata hufai kwenye sekeseke unamwacha peke yake halafu hapa wajitia upande binamu hufaiii teh teh teh

Eeeh waniache nipambane mwenyewe maana siku nikipatana na adui yangu yeye ataona soo , aaah aaah , hili jeshi la mtu mmoja binamu
 
Acha unaa wewe hata hufai kwenye sekeseke unamwacha peke yake halafu hapa wajitia upande binamu hufaiii teh teh teh

Sasa hakuniitaa mi nakuja kujuaa mchezo ushaishaa ningesaidiajee awe ananiita mapemaa maana mi siku hiz humu nna timu nyingii
Au vipiiiiiii
 
Eeeh waniache nipambane mwenyewe maana siku nikipatana na adui yangu yeye ataona soo , aaah aaah , hili jeshi la mtu mmoja binamu

Binamu watu wanafiki sana unahangaika kuwatafutia news wanafurahi halafu kwenye ligi wanakuacha peke yako binamu ningekuwepo ningekusaidia maana hakuna anaenishinda huyo matola nilmtia adabu siku hizi anaandika comment fupi fupi tu usirudi nyuma kila mtu na maisha yake siku nyingine niite nikusaidie mi sipendi kumfurahisha kila mtu ndo mana sina unafiki....

Wakilianzisha tena usisite kuniita...
 
Sasa hakuniitaa mi nakuja kujuaa mchezo ushaishaa ningesaidiajee awe ananiita mapemaa maana mi siku hiz humu nna timu nyingii
Au vipiiiiiii

Hamna lolote nakujua wewe ni mwepesi wa kusalimu amri na kuungana na Adui...
 

Aaaah aaah sometimes wananizid nguvu maana wanakuwa wengi yaani duh halafu sioni cha Nani wala Nani , yaani hii Team yangu feki kabisa nashindwa kuielewa kabisa
 
lusungo umetisha.. kula tano
 
Last edited by a moderator:
Aaaah aaah sometimes wananizid nguvu maana wanakuwa wengi yaani duh halafu sioni cha Nani wala Nani , yaani hii Team yangu feki kabisa nashindwa kuielewa kabisa

Sio fake bhana Sema hatupati taarifa mapema.. uwe unatuita tupambane pamoja
 
Aaaah aaah sometimes wananizid nguvu maana wanakuwa wengi yaani duh halafu sioni cha Nani wala Nani , yaani hii Team yangu feki kabisa nashindwa kuielewa kabisa

Nawaonaga tu ukishambuliwa wanafurahia halafu huwa wanawamic maadui zako eti wanawapa raha watu viatu binamu
 
Nawaonaga tu ukishambuliwa wanafurahia halafu huwa wanawamic maadui zako eti wanawapa raha watu viatu binamu

Hili nalionaga sema sipendagi kuliwekea maanani so naonaga sawa tu, yah uwa naona wanachekaga hao na kufurahi, ila Mimi nabaki kuwa warumi yani the only n one, I don't force people to defend me kama wakijisikia poa
 
Last edited by a moderator:
Hili nalionaga sema sipendagi kuliwekea maanani so naonaga sawa tu, yah uwa naona wanachekaga hao na kufurahi, ila Mimi nabaki kuwa warumi yani the only n one, I don't force people to defend me kama wakijisikia poa

Poa binamu waache na maisha yao live your life pamoja sana....
 
Last edited by a moderator:
Hamna lolote nakujua wewe ni mwepesi wa kusalimu amri na kuungana na Adui...

Kama adui yupiii???walaa we kwenye ligii niitee lakin kule siasanii nna ligii kabisaaa ya kule tuyaachee kulee tukija huku kama kawaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…