Wendy Williams amekataa kuzeeka kabisa, miaka 58 lakini bado mbichi kabisa

Inamaana huoni Hadi ngozi imejikunja hivyo?
 
Wendy ni Bibi kabisa, mpaka amestaafu, vijana acheni kupenda slope no wonder idadi ya mapunga inaongezeka mkikosa wamama wa kuwalea mnatafuta mabasha wakuwapumulia.

Lots of vijana wamekuwa sio riziki sababu ya kutamani slopes. Sasa huyo Bibi ambaye hadi Kuna wakati silicone zilikataa zikawa zinaanguka tu unaanzaje kusema ni mbichi?

Mnapoteza muda na hivi vizee mnaacha watoto wakali akina Paula tunawala sisi wazee. Stupid. Jitu limejizeekea haujiulizi kabita na wangapi? Kuna vitoto vitamu mnahangaika na hawa wenye sugu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…