Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miaka 58 Tanzania Bado yupo kwenye Utumishi wa Umma. Hakuna Mtu wa miaka 58 wala 60 wala 70 ana Mwili wa Aina hii. Mama yangu she is 82 lakini hajaborejeka Mapaja na Miguu hivyo.Mange Kimambi wa mambele.View attachment 2320957
Hahahah, eti anachakataaisee utakuta kuna mwamba anachakata hapo
Kalose weightBi mkubwa ana miaka 70 + hapa paja lake liko soft..
Au alipata ajali ya moto huyu?
Ana mumeaisee utakuta kuna mwamba anachakata hapo
Graves disease ndo ugonjwa gani huu enyi wazungu[emoji848]Wendy kalose Sana weight ndo maana ngozi imeshuka hivyo nadhani divorce,kufiwa na mama yake vilimchanganya Sana plus anaumwa,ana Graves disease.
Mange Kimambi wa mambele.View attachment 2320957
Unasababishwa pale thyroid hormone inapozalishwa nyingi Sana kupita kiasi kinachohitajika mwilini (hyperthyroidism)Graves disease ndo ugonjwa gani huu enyi wazungu[emoji848]
Eeh boss fafanua kila kitu kwa kiswahili basi[emoji16][emoji16]Unasababishwa pale thyroid hormone inapozalishwa nyingi Sana kupita kiasi kinachohitajika mwilini (hyperthyroidism)
Nimechekaaa khaaaGraves disease ndo ugonjwa gani huu enyi wazungu[emoji848]
Wakat niukuta huwez kusindana nao bib akubaltu matokeoMange Kimambi wa mambele.View attachment 2320957