Wengi hamjui, ujasiri wa Makonda ulianzia hapa!

Huu ujasiri usio kifani ndio muendelezo wake huu wa kusema atapiga makofi mtu
Kwa hiyo yote haya ni maelekezo
Ila kama kumtuma na kusema nani anaweza hizi kazi za udhalilishaji basi usiite ujasiri bali kazi zisizo na aibu wala Soni na hayaa

Siku njema
 
Hakuna lolote Chai tu hii. Makonda anafahamika vizuri na anafanya anachoweza fanya vizuri na Viongozi wake waliliona hili.
 
Mleta uzi anafanana na mtoto wa mstaafu wa Jiji pendwa na aliyetuachia majanga kwenye nishati muhimu
 
Kweli watanzania wengi wamechoka akili. Acha uongo!! Chuki zako binafsi zipeleke huko ndugu. Huu Uzi uondolewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…