Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutumia dola kujenga imani kwa wapiga kura.Hivi kanukuliwaje vibaya? Kwamba aliongea Kihaya sisi tuka tafsiri kiswahili au?
Maana alitumia lugha inayo eleweka na Watanzania wote tukamuelewa. Nyie mnao jaribu kumsemea ni kina nani?
Ajitokeze hadharani aseme alimaanisha nini..
Sent using Jamii Forums mobile app
NonsenseNimesikiliza kwa umakini alichosema katibu mkuun CCM juu ya matumizi ya dola kuhakikisha chama kilicho shika dola, nimegundua kuna upotoshaji.
Alicho maanisha ni kutumia dola kwa maslahi ya chama dola ili kilinde maslahi umma.
Mfano kudhibiti rushwa, ufisadi, kuleta nidhamu kazini n.k . Na sio kukandamiza upinzani.
Hawakujenga imani kwa wapiga kura.Acheni kutetea wapuuzi na wahujumu uchumi
Labda mgumu kuelewa. Maana hao walipoteza imani kwa votersMpaka mifano ya KANU na Zambia ameisema sasa tusichoelewa ni nini?
Chama kilichoshika dola kinapaswa kutenda kadri ya katiba. Kama kwa ufinyu wa akili yako ni huo basi duniani kusingekuwa na vyama vya upinzani. Kwa vile chama kilicho madarakani kinalindwa na dola. Acheni UHAYAWANI HUU WATANZANIAChama kilichoshika dola huvitimia vyombo vya dola kutekeleza ilani yake
Ki msingi, hii mada haikuhusu wala sio saizi yako. Lakini kwakuwa ni mada ya wazi, basi kila mtu anaweza kuweka chochote. Ila mwisho utaeleza nani ilimhusu na nani alidandia tuu.Mleta mada pole sana kwa kuwa mwanafunzi wa Bashiru pia pole sana kwa kurithi ujinga wa Bashiru.
Mwache apanic kwanza hana madhara yoyote kwa watanzaniahapa tayari umeshapanic.