makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Wala hyo c sababu hyoKosa kubwa alilofanya kugonga dem wa mshkaji kisha kuimba na kujisifu katika wimbo wake wa Hit em all, naamini kabisa ndio ilisababisha kifo chake, na kama ni kweli (kwa mujibu wa mawazo yangu) basi alistahili kile kifo
Je kweli kuwa Tupac alikuwa na asili ya Tuareg wa West Africa kama alivyowahi kudai mwenyewe?Mimi ni fan wa 2pac tokea mwaka 95 ......
Tupac alikua ni rapper
Alikua ni mshairi
Alikua muigizaji
Alikua ni mwanaharakati
Alikua ni mtete haki za wanyonge
Kama una swali niulize
Mkuu Tupac ana Baba wawili,na Baba wa ukweli yupo jela hadi leo baba mlezi na wa ukweli wote ni weusi hakuna mtu mweusi wa marekani ambae hakutoka africa ukiwa na hela unatrace ancestors wako wote unawapatJe kweli kuwa Tupac alikuwa na asili ya Tuareg wa West Africa kama alivyowahi kudai mwenyewe?
Bangi noomaDuh! yaani limeniacha hoi hilo la mwili wake kuchomwa na majivu yake yakachanganywa na bangi kisha masela wakalanduka, hao jamaa wanatisha.
nieleweshe maana ya usela mavi?
Si sahihi kwamba wengi hawayajui hayo uliyoyaainisha
Sikusema watu wote hawajui mdau... nilisema ni wengi, kama humo kati ya hao wengi, sio kesi mkuu (japokuwa najua kuna baadhi ya fact hapo ulikua huzijui na umefurahi kuzijua hata kama hutakubaliana na mimi)
Wivu tuu mpuuzi weweAlikua msela mavvi na ndio kilichomuua
Alikuwa kicheche sana
jamaa una swaga za kike, nlikua nakukubali ila sasa we lafa tuu huna maana, kwanza hio picha ya boy makaveli uitoe hapo profile maana huna ,maanaMuuaji.
kwa star kula mademu wa wenzio ni kawaida sana sababu mademu wanasumbua sana.Sikiliza hit em up
Pia alikuwa akitumika katika missions za illuminat[emoji12]Mimi ni fan wa 2pac tokea mwaka 95 ......
Tupac alikua ni rapper
Alikua ni mshairi
Alikua muigizaji
Alikua ni mwanaharakati
Alikua ni mtete haki za wanyonge
Kama una swali niulize
Hpanana, kuna kipindi pac aliwASEMA VIBAYA WANAOAMINI MAMBO YA GIZA HADI JAY Z AKA KASIRIKA NA MAHUSIANO MABOVU YAKAANZAIA HAPO SABABU JAY Z NI MWAMINI MASHETANIPia alikuwa akitumika katika missions za illuminat[emoji12]
But Suge is a member of a secret society.Na inasemekana alikuwa na mikakati ya siri ambayo mwisho wa siku ilikuja kuvuja kisha 2pac akaanza kutafuta escape ndio maana nyimbo nyingi za mwishoni mwa maisha yake zilikuw zinawiana na siku za kifo chake.2pac amekufa kiukweli na suge hausiki kabisa na kifo chake.....suge alikua bosi wa 2pac,rafiki yake na pia mwajiri wake 2pac alimpenda suge,alifanya nae kazi lakini 2pac hakuwahi kumwamini suge maana anamjua vema
kwa star kula mademu wa wenzio ni kawaida sana sababu mademu wanasumbua sana.
Mkewe alikuwa anamegwa kisela na 2pac isitoshe mkewe ana maskendo ya ajabu ajabu ikiwemo mpk kucheza picha za ngonoMkuu ning'ate sikio will alifanya nini
Ndugu yangu kuna kitu kinaitwa mapenzi.Hapo ndio naonaga ubwege wa will smith sijui akisikiaga wimbo wa 2pac huwa anajisikiaje
Pole sana Kiongozi.Namba 4 inshaisaka sana bila mafanikio,je waweza nisaidia namna ya kuipata?
Duh Mkuu ulivyoisifia ile kitu inaonekana wewe ni mpenzi mkubwa wa ile kituNdugu yangu kuna kitu kinaitwa mapenzi.
Mfano, kuna mtu inatokea kuangukia kwenye penzi la Mwanamke Kahaba, huku muhusika (Njemba) akijua fika mpenzi wake anafanya biashara ya kuuza mwili, na wala njemba haina wasi, na hata Mpenzi wake (huyo Kahaba) anapoenda kazini (kwenye biashara zake) anaagana na njemba yake bila wasi.
Ni mambo ya kawaida sana kwenye ulimwengu wa Mapenzi.
Kwahiyo usimlaumu Will, ile kitu hapana chezea kabisa.
Ile kitu inafikia mpaka watu wanauana, hebu fikiria wewe mwenyewe.
Yaani ile kitu?!
Kile kidude ni hatari sana.
Acha tu