Wengi hawayajui haya kuhusu Tupac Omar Shakur (2pac)

Soon as I get home.

Moja kati ya Vibao vyake ninavyovikubali kupita maelezo.


 
Mbona unaniita mdogo wako sasa?
 
Huyu aliyaona kitambo sana, leo ndio Waamerika wanaanza kumshtukia Trump. Laiti kama wangemsikiliza Tupac sijui kama wangemchagua kuwa miongoni mwa wagombea wa Urais
 
Mbona unaniita mdogo wako sasa?
Kwani dhambi, au nilipokuita mdogo wangu umelazwa I.C.U hapo, haya niite mie basi mdogo wako tuone kama utanenepa..

[emoji23] [emoji23] [emoji23] .. Yaan bob una nongwa kama mtoto wa mganga vile
 
Ukiona mtu maarufu sana kwenye nchi kauwawa na muuaji hajakamatwa jua kuwa System ya hiyo nchi imehusika kwa 99%. So ukisoma kitabu cha WHITE PAPER utajua kuwa tupac aliuwawa na CIA....coz tupac alikuwa anataka kuacha rap aingie kwenye siasa na kwa jinsi alivyokuwa maarufu ingewasumbua sana wazungu cz jamaa alikuwa na NYOTA kweli.
Subiri Ni movies yake ALL EYES ON ME 2016 INAACHIWA NOVEMBER KAEKTI JAMAA YUKO KIASI FULANI 99% Wanafanana. Ingia youtube uchek trailer
 
I think itakuwa poa ingawa kuna claims huko USA kuwa illumination wamemuua mama yake tupac ili kupotosha kitu kuhusu tupac kwwne hiyo movie maana kuna vitu alikuwa against kuhusu hiyo movie na Mtu wa karibu ambaye angetakiwa athibitishe Ni JaDA PINKet Smith....ambaye wanasema wameshamnyamzisha so itatoka kama walivyopanga
 
Duh! yaani limeniacha hoi hilo la mwili wake kuchomwa na majivu yake yakachanganywa na bangi kisha masela wakalanduka, hao jamaa wanatisha.
Hahaha hata maeneo ya arusha kuna msela aliafariki wakamiminia jeneza lake viroba na bia na wenyewe walikuwa bwiii
 

Thanks mkuu mimi ni shabiki wa Tupac alipokufa nilisikitika na mpaka leo nasikiliza nyimbo zake kila mara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…