Feud ya Pac na Jigga ni Jigga alikua anatafuta umaarufu kupitia pac kwa kutia sauti kwenye bifu ya Biggie na Pac. Alikua hajaingia illuminati at that time.Hpanana, kuna kipindi pac aliwASEMA VIBAYA WANAOAMINI MAMBO YA GIZA HADI JAY Z AKA KASIRIKA NA MAHUSIANO MABOVU YAKAANZAIA HAPO SABABU JAY Z NI MWAMINI MASHETANI
Basi kuna nyimbo ya pac niliielewa vibaya.Feud ya Pac na Jigga ni Jigga alikua anatafuta umaarufu kupitia pac kwa kutia sauti kwenye bifu ya Biggie na Pac. Alikua hajaingia illuminati at that time.
Wawapi wewe huelewi lugha za mjininieleweshe maana ya usela mavi?
Ivi pac aliwezaje kufanya kazi na dre? wakati alikua anamuita gay kwenye taracks kibao kama toss it up, na my block?Feud ya Pac na Jigga ni Jigga alikua anatafuta umaarufu kupitia pac kwa kutia sauti kwenye bifu ya Biggie na Pac. Alikua hajaingia illuminati at that time.
Duh jamaa kamfaidi Jada akiwa Bado mbichi kabisa sio kama will kakuta kaishatumika sanaUlimwengu wa Mapenzi ni kitu kingine.
Hebu ngoja nikutupie na Picha, awali sikukutupia picha.
Suge hakua secret society but alikua evil in his own way. Mtu alieogopwa kupita wote kipindi kile kwenye music industry. Jamaa alikua gang related.But Suge is a member of a secret society.Na inasemekana alikuwa na mikakati ya siri ambayo mwisho wa siku ilikuja kuvuja kisha 2pac akaanza kutafuta escape ndio maana nyimbo nyingi za mwishoni mwa maisha yake zilikuw zinawiana na siku za kifo chake.
Ila naona smith angetafuta manzi mwingine tuu, kutembea na demu wa celebrity maarufu na alietangulia mbele ya haki yahitaji moyo. Ngumu kumeza hiyo.Duh jamaa kamfaidi Jada akiwa Bado mbichi kabisa sio kama will kakuta kaishatumika sana
Teh teh teh teh demu mwizi mwizi flan ndio maana jamaa alidata nae ila kwasasa naona demu kaishakubali matokeo kawa mpoleIla naona smith angetafuta manzi mwingine tuu, kutembea na demu wa celebrity maarufu na alietangulia mbele ya haki yahitaji moyo. Ngumu kumeza hiyo.
nieleweshe wewe basi maana ya usela maviWawapi wewe huelewi lugha za mjini
Ningelikua na kaa huko majuu ningefanya njama walau na yeye ni mfanye marehemu.
Huyu mbuzi sijui anajiskiaje yani pia nina wasiwasi na CIA maana wamarekani nina hakika walikua hawafurahishwi na kitendo cha tupac kuwa maarufu. Na kwa kutumia media zao naona walichangia kukuza huu mzozo.
Ila afterall black wana run the world watake wasitake mwafrika yuko juu. Athletes, Waigizaji, wanasiasa, na wanamuziki kibao iwe rnb, hp hop, rock n.k
Kuna kipindi niliskia walitengana.Teh teh teh teh demu mwizi mwizi flan ndio maana jamaa alidata nae ila kwasasa naona demu kaishakubali matokeo kawa mpole
Inawezekana ila dizaini naona ni kama wanaelewana sana kwa sasaKuna kipindi niliskia walitengana.
Ubaguzi ni mkubwa sana ila lazima wataitambua kazi yetu tuu, martin luther alisema iko siku ataingia rais mweusi ikulu ya marekani na japo kua alikufa kabla ndoto yake haijatimia ila ilikua kutimia baadae.wazungu wengi ni maK sana, mi nashangaa sijui watu wanawashobokeaga nini wakati wanaongea shit sana kuhusu black race,i hate them all!!
Absolutely true..Ukiona mtu maarufu sana kwenye nchi kauwawa na muuaji hajakamatwa jua kuwa System ya hiyo nchi imehusika kwa 99%. So ukisoma kitabu cha WHITE PAPER utajua kuwa tupac aliuwawa na CIA....coz tupac alikuwa anataka kuacha rap aingie kwenye siasa na kwa jinsi alivyokuwa maarufu ingewasumbua sana wazungu cz jamaa alikuwa na NYOTA kweli.
Subiri Ni movies yake ALL EYES ON ME 2016 INAACHIWA NOVEMBER KAEKTI JAMAA YUKO KIASI FULANI 99% Wanafanana. Ingia youtube uchek trailer
Huyo manzi hajachoka sana stil anaweza mtoa udenda smith kwa miaka mingi ijayo.Inawezekana ila dizaini naona ni kama wanaelewana sana kwa sasa
Sio tatizo, tuna tofutiana mila na utamaduni.Kitu kimoja wengi wanakwepa kukijadili ni kutoga kwake pua kama binti wa pwani
Nope ji Jagga aliseek political asylum.EHE HUYO MZEE NI MTANZANIA?
Si ndo kama kifo cha John F kenedy!Absolutely true..
Haingii akilini USA walienda kumfukunyua Saddam Hussein kwenye handaki aliko kua amejificha tena bara jingine lakini wameshindwa kumkamata mtu mmoja huko USA despite all the surveillance.
Then akauwawa Frank Alexander who knew too much. Then akauwawa Johnny J who also knew too much.Kifo cha Tupac kimekuwa na utata na kimeleta gumzo kubwa.
Kuna baadhi ya Watu wanasema, marehemu KADAFI alikuwa akiwafahamu wauaji wa Tupac, sababu yeye KADAFI alikuwa na Tupac, pamoja na Suge Knight mpaka dakika ya mwisho, alishuhudia lilipotokea tukio la kumwagiwa Risasi Marehemu Tupac.
Na marehemu KADAFI aliahidi kuwataja wauaji wa Tupac atakapoenda kwenye mahojiano na wanaUsalama, kitu ambacho baada ya kusikika KADAFI kuwa atawataja wauaji wa marehemu Tupac, ili kupoteza ushahidi ikabidi KADAFI nae auliwe.
Na cha ajabu zaidi KADAFI aliuawa kwa Risasi, miezi miwili tu baada ya kifo cha Tupac