Wengi hawayajui haya

Wengi hawayajui haya

Haya matunda ni mengi sana huko maeneo ya uwemba njombe na hua tunaita matunda damu.

Ina maana haya matunda kuna sehem wanayaweka kwenye mboga?au kuyachoma na kuyatumia kama mboga?nilikua sijui kabisa.
Mufindi Iringa pia tunaita matunda damu
 
8ae87a7cd3d5bc282fc764af5f85a899.jpg
Hata mimi suyajui😃
 
Wakati wa ujenzi wa reli ya Tazara hizi Lorry toka China ghafla zilijaa nchini- bidhaa nyingi toka China zilijaa madukani ikiwemo na dawa ya meno Maxam
 

Attachments

  • IMG-20240303-WA0028.jpg
    IMG-20240303-WA0028.jpg
    37.9 KB · Views: 3
Wakati wa ujenzi wa reli ya Tazara hizi Lorry toka China ghafla zilijaa nchini- bidhaa nyingi toka China zilijaa madukani ikiwemo na dawa ya meno Maxam
Walisema Maxam inatoka Urusi
 
Back
Top Bottom