Bitoz
JF-Expert Member
- Aug 27, 2015
- 30,823
- 126,553
UtanishtuaTayari kaka
[emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UtanishtuaTayari kaka
mukulu asalam aleikum...kwema na family?zamani tukiyachuma na kuchezea,kumumunya na ni matamu. kwetu huyaita tunguja, ila yamegundulika yana kinga kubwa sana ya magonjwa mbalimbali. wengine wataongezea...
Uchokozi huo sasaUtasikia Hayo Pia Hawayajui Wanaume Wa Daslamu..!
Bukoba mengi sana tunayaita Ebitoma, tunapikia kwenye ndizi. Hapa Dar yanapatikana Sinza Mori Duka la Kazaura.
Ebitomasi (ebitongo) tamu sana kula iloiva kama imepikwa pia kuchoma.
Nani mkweli na nani yuko sahihi hapawahaya wanayaita Amatomasi
MseleZikitumika kwenye ule mlenda wa kusaga ni balaa!!
EBITOMASI&AMATOMASI hamna tofauti ni lafudhi ndio zina utofauti tu.Nani mkweli na nani yuko sahihi hapa
posuta...
namimi ndo nilijua haya kama 'matunda damu'
Nimepitia uzi wote huu ili nione kama kunaaliyetoa jibu sahihi; HAKUNA. Mimi nalifahamu tunda hili linaitwa MZEITUNI. Siku hizi hapa Dar yapo ingawa siyo kwa ingi. Ni tunda zuri sana, lina vitamini C kwa wingi na mafuta tosha, mbegu zake zikisindikwa hutoa mafuta ya Mzeituni. Karibuni kwa maswali.
Wote tuko sawa sawia.Yote majina yake sheikhNani mkweli na nani yuko sahihi hapa
Matunda ya mzeituni na mafuta yakeNimepitia uzi wote huu ili nione kama kunaaliyetoa jibu sahihi; HAKUNA. Mimi nalifahamu tunda hili linaitwa MZEITUNI. Siku hizi hapa Dar yapo ingawa siyo kwa ingi. Ni tunda zuri sana, lina vitamini C kwa wingi na mafuta tosha, mbegu zake zikisindikwa hutoa mafuta ya Mzeituni. Karibuni kwa maswali.