Wengi hawayajui haya

Wengi hawayajui haya

Bukoba mengi sana tunayaita Ebitoma, tunapikia kwenye ndizi. Hapa Dar yanapatikana Sinza Mori Duka la Kazaura.
 
zamani tukiyachuma na kuchezea,kumumunya na ni matamu. kwetu huyaita tunguja, ila yamegundulika yana kinga kubwa sana ya magonjwa mbalimbali. wengine wataongezea...
mukulu asalam aleikum...kwema na family?
 
8ae87a7cd3d5bc282fc764af5f85a899.jpg
Nimepitia uzi wote huu ili nione kama kunaaliyetoa jibu sahihi; HAKUNA. Mimi nalifahamu tunda hili linaitwa MZEITUNI. Siku hizi hapa Dar yapo ingawa siyo kwa ingi. Ni tunda zuri sana, lina vitamini C kwa wingi na mafuta tosha, mbegu zake zikisindikwa hutoa mafuta ya Mzeituni. Karibuni kwa maswali.
 
matunda damu kwa mbeya wanyakyusa tunaita maapana mshana jr wewe noma kweli umenirudisha mbeyaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa greeen ciiiiiiiiiiiiiityyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy
 
Nimepitia uzi wote huu ili nione kama kunaaliyetoa jibu sahihi; HAKUNA. Mimi nalifahamu tunda hili linaitwa MZEITUNI. Siku hizi hapa Dar yapo ingawa siyo kwa ingi. Ni tunda zuri sana, lina vitamini C kwa wingi na mafuta tosha, mbegu zake zikisindikwa hutoa mafuta ya Mzeituni. Karibuni kwa maswali.
Matunda ya mzeituni na mafuta yake
1461246411044.jpg
picha kwa hisani ya mzizimkavu blog
 
Back
Top Bottom