Wengi hawayajui haya

Wengi hawayajui haya

Mmh
c9c5ef954d85c1254032d55a809977a6.jpg
na haya je?
ngoime.
 
Yanaitwa nsalasi kwa kisukuma/kinyamwezi yanapatikana porini kwa msimu
 
Niliyala nikiwa scauti kwenye pori la TENGERU
dah kweli jamaa.
zamani nikiwa mdogo mdogo nilikuwa nawaona scaut hapa tengeru katika pori la chuo cha mifugo.
kwa miaka yote nimekuwa naupenda scaut ila cjajua jinsi ya kujiunga nayo.
msaada please.
 
mi ni mwanamke wa dar siyajui,jaman hivi wanaume wa dar wana nini mume wangu yupo hapa dar unantisha mkuu.
Mkuu Usisikitike sana Jitahidi ufuatilie nyendo za mumeo tu..!
Kama hazina mashaka sawa kama zina mashaka basi ndo wanaume wa daslamu tunavotuhumiwa..!
Kuna tuhuma nyingi sana dhidi ya wanaume wa daslamu mbaya zaidi zinatulenga hadi sisi ambao tulikuja tu kama wahamiaji haramu kwa mafuso ya kabichi
 
Back
Top Bottom