upupu
JF-Expert Member
- Apr 15, 2008
- 614
- 198
Nimeyala kwa mara ya kwanza Rwanda, yapo mengi sana huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeyala kwa mara ya kwanza Rwanda, yapo mengi sana huko
Hata wasambaa wayaita hivyo, mara nyingi yapikiwa kwenye mlenda, hasa hasa mlenda wa unga, unaweza ukalichemsha au kuchoma kisha ukamenya maganda ukalumangia kwa ugali. Yakikomaa vizuri watoto wanayala bila kupikwa wala kuchomwa.Magogwe kwa wapera matungusha kwa wachagga...hhahah
Haya matunda ni mengi sana huko maeneo ya uwemba njombe na hua tunaita matunda damu.
Ina maana haya matunda kuna sehem wanayaweka kwenye mboga?au kuyachoma na kuyatumia kama mboga?nilikua sijui kabisa.
Inaweza kuwa fursa kwa Wajasiliamali.
Hii ni fursa kwa Wajasiliamali.
Haya kwetu tunayaita matunda nyanya nadhani kuna tofauti ya kuyatambulisha kutokana na locality
mwaka juzi niliyakuta soko la Kiwira Tukuyu Mby njia panda ya kwenda Igogwe hospitali. Niliyakuta mengi tu, sijui miaka hii maana mazingira yanabadilika sanaHivi haya yapo kwa wingi? Sio kuwa yanatoweka??
Kwetu hayo magogwe ndio matunda damuHaya ndio matunda damu![]()
Na haya ni magoghwe![]()
Kweli ufipa yanaitwa matunda damu, nakumbuka enzi hizo unalipasua katika ya tunda unaweka sukari ili kupunguza uchachu wa hilo tunda ndio linaliwahayo ufipani tunayaita matunda damu sababu ndani ni mekundu kama damu
Mkuu.....usharudi na mzigo?Haya ndio matunda damu![]()
Na haya ni magoghwe![]()
fursa gani wakati ni kiungulia tuuInaweza kuwa fursa kwa Wajasiliamali.
Hii ni fursa kwa Wajasiliamali.