Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Hahahahaha hawajui tuwasamehe!Halafu kuna watu kabisa wanamuona yule mzee alikuwa mtu wa maana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha hawajui tuwasamehe!Halafu kuna watu kabisa wanamuona yule mzee alikuwa mtu wa maana
Binafsi siamini kabisa uadui kwenye siasaUnaunga mkono hoja gani? Maana kati ya watu wanafiki na waimba mapambio kwenye hiyo awamu, wewe ulikuwa ni mmoja wao.
Na ulikuwa unakera sana pamoja na wale wenzako. Ila ilipoingia awamu ya huyu mama, akili ndiyo zimekukaa sawa. Maana unaonekana hauko kwenye kundi la walamba asali
Uwe na amani Bwashee! Nilikuwa naweka tu kumbukumbu sawa, ya kwamba kati ya wajumbe ambao mlikuwa hamsikii wala kuambiwa kuhusu Rais wa wakati; wewe ulikuwa ni mmoja wao.Binafsi siamini kabisa uadui kwenye siasa
Mimi nafagilia Maendeleo ndio sababu nilimkubali Lowasa na nilimkubali Dr Slaa
Magufuli nilikuja kumkubali baadae Baada ya kumuona ni bonge la " kauzu"
Lowasa alikuwa na uwezo wa kumkemea mtendaji yoyote hadhara I na ndivyo walivyokuwa Magufuli na Dr Slaa
Uzuri ni kwamba sisi tulikuwepo Bavicha inavyoasisiwa pale Kisutu Majamatini kwa mzee Ndesamburo hivyo tunajua tunachokifanya iwe kwa Chadema au CCM
Mungu wa mbinguni akubariki sana usikereke!
Sidhani kama serikali yetu ikiamua kupata chochote ikashindwa?Kuna kipindi hapo awamu ya tano palikuwa na mtafutano mkali sana baina ya vyombo vya ulinzi vilivyopewa task ya kukamata wana jf hasa wa jukwaa la siasa wanaokosoa serikali...
Safari hii natumia mbinu mbadala Unajua Mfumo wa mama Samia ni ule tunaita " alalaye usimwamshe..." na Magufuli alikuwa anatumia Mfumo wa Uruguay ya zamani " Buti Buti kipa hadi fowadi"Uwe na amani Bwashee! Nilikuwa naweka tu kumbukumbu sawa, ya kwamba kati ya wajumbe ambao mlikuwa hamsikii wala kuambiwa kuhusu Rais wa wakati; wewe ulikuwa ni mmoja wao...
Ilishindwa! JF Iko juu saaaanaSidhani kama serikali yetu ikiamua kupata chochote ikashindwa?
(Kwa member yeyote).
Tuanzie hapo 🌝😄
Awepo kwenye kundi la walamba asali wakati alikua mkata mauno wa chato finestUnaunga mkono hoja gani? Maana kati ya watu wanafiki na waimba mapambio kwenye hiyo awamu, wewe ulikuwa ni mmoja wao.
Na ulikuwa unakera sana pamoja na wale wenzako. Ila ilipoingia awamu ya huyu mama, akili ndiyo zimekukaa sawa. Maana unaonekana hauko kwenye kundi la walamba asali
Siamini hayo, alipotea kimaajabuYawezakuwa amebadili jina I'd muda mrefu bila wewe kujua kwani last seen yake inaonyeshaje?
Server za jf hazipo hapa bongo .Sidhani kama serikali yetu ikiamua kupata chochote ikashindwa?
(Kwa member yeyote).
Tuanzie hapo [emoji275][emoji1]
Nami wangenjsweka ndnai kwakula mbususu za wake wa watu🤣🤣🤣🤣Angebaki mzabzab peke yake humu
Nami wangenjsweka ndnai kwakula mbususu za wake wa watu🤣🤣🤣🤣
Wamegeuka kuwa Sukuma gangKipindi kile wakosoaji walikuwa wanaitwa wapiga dili na wenye vyeti feki! Hali ilikuwa si hali. Waimba mapambio (MATAGA) walikuwa ndiyo wametamalaki humu jukwaani.
Sasa hivi, wengi wao wamejikatia tamaa baada ya kutoswa kwenye mfumo wa ulaji.