Wengi tungeswekwa magerezani awamu ya tano wakati Serikali inataka IP adress za accounts zinazoikosoa, tunashukuru JamiiForums mlitusimamia

Wengi tungeswekwa magerezani awamu ya tano wakati Serikali inataka IP adress za accounts zinazoikosoa, tunashukuru JamiiForums mlitusimamia

Mkuu umechemka hapo uliponiambia naongea vitu ambavyo sivijui ila ukirudia kusoma ulivyoniquote nimeandika "Not only computer hata simu unaweza kuconfig static ip ila ni only Operator ndiyo ataifanya" nilikuwa namjibu mmoja wa member aliyesema static ip zipo kwenye computer tu...Zingatia hpo niliposisitiza Only Operator ndiyo ataifanya

Nakupa elimu ya bure mkuu ,ukitaka static ip kwenye simu unaomba kwenye kampuni ya simu uliyopo wanakupa ,wanachofanya kwenye Profile ya namba yako wana define static IP otherwise default inakuwa Dynamic kwahiyo namba zinaenda kwenye IP pool by default.
kama ni kwenda kuomba kwa mitandao husika inawezekana wale ndio wana-configure hizo dns server.
 
Ujuaji mwingi wakati ip address za simu huwa zinabadilika kila unapowasha na kuzima data(dynamic ip address) labda kwa wale watumiaji wa computer za mashirika kama wame-configure static ip address.
Kitu ambacho hakibadiliki kwenye simu yako ni imei ndio maana polisi ukipoteza simu wanaomba hiyo.
Mkuu punguza ujuaji, mimi hapa nimeandika kwa lugha nyepesi tu kila mtu aweze kuelewa.

Ip adress ni kweli zinabadilika kila unapowasha na kuzima simu lakini kama zinarekodiwa (ip logging) katika tovuti na mitandao ya simu huwezi kuruka.

Kwa taarifa yako tu ni kwamba hata ip ambazo ulizitumia mwaka jana kama tovuti inazi log, zinaweza kuwa traced zilikuwa zinatumika kwenye namba ipi kama nayo mitandao ya simu inatunza kumbu kumbu.
 
Kumdaka mtu kwa IP labda yule ambaye ni mweupe kabisa kuhusu IT ,kwenye ulimwengu huu wa proxy sites kibao utaingiaje direct kama unajua unatrackiwa? Kigogo ndiyo maana wameshindwa kumpata kwsababu hiyo hiyo.

Not only computer hata simu unaweza kuconfig static ip ila ni only Operator ndiyo ataifanya otherwise wote mnakuwa kwenye IP Pool kila mda ukifanya session nyingine unaarquire another IP.

Ukiwa na static ip na ukaitumia direct obvious utashikwa.......Kama unajijua una mbambamba nyingi ni bora utumie proxies sites au VPN.
Mkuu nikuelimishe tu kwamba kama tovuti inarekodi ip adress unaweza kudakwa kirahisi tu, unaweza kuanza kutumia hizo proxy lakini kama tovuti inarekodi ipp adress wanaweza kucheki hata ip adress zako zilizotumika kusajili account yako mwaka 2018 na wakaenda kuzi match wajue ip adress ni ilikuwa inatumika kwenye kifaa kipi na hapo wataangalia namba ya laini iliyokuwa kwenye kifaa aidha simu ama modem, n,k, hadi hapo ushadakwa.

Kigogo hakukamatwa kwasababu alikuwa anatumia twitter, twitter hawawezi kubabaishwa na nchi kama Tanzania eti watoe ip adress za mtu flani tena kwa sababu za kukandamiza uhuru wake maoni yani hapo twiiter hawawezi kukuelewa watakwambia peleka ujinga wako kwengine, Twitter hadi watoe ip adress labda iwe ni kwenye mambo ya ugaidi, ujambazi, n.k.
 
kama ni kwenda kuomba kwa mitandao husika inawezekana wale ndio wana-configure hizo dns server.

Sikuelewi unaposema wanaconfig DSN server ,kazi ya DNS server ni only kutranslate tu IP badala ya kwenye web kuandika 204.30,104.46 unamap na text jamiiforum.com ,kuconfig Static IP kwenye simu wanaconfig kwenye profile ya namba ya mteja na pia hizo static ip za kwenye computer ni for their LAN(locallly) and their DSN ikitoka nje kwenda globla iP inabidi ifanyiwe NATTING.
 
Mkuu nikuelimishe tu kwamba kama tovuti inarekodi ip adress unaweza kudakwa kirahisi tu, unaweza kuanza kutumia hizo proxy lakini kama tovuti inarekodi ipp adress wanaweza kucheki hata ip adress zako zilizotumika kusajili account yako mwaka 2018 na wakaenda kuzi match wajue ip adress ni ilikuwa inatumika kwenye kifaa kipi na hapo wataangalia namba ya laini iliyokuwa kwenye kifaa aidha simu ama modem, n,k, hadi hapo ushadakwa.

Kigogo hakukamatwa kwasababu alikuwa anatumia twitter, twitter hawawezi kubabaishwa na nchi kama Tanzania eti watoe ip adress za mtu flani tena kwa sababu za kukandamiza uhuru wake maoni yani hapo twiiter hawawezi kukuelewa watakwambia peleka ujinga wako kwengine, Twitter hadi watoe ip adress labda iwe ni kwenye mambo ya ugaidi, ujambazi, n.k.

Sawa lengo la kutumia proxy/vpn ni kumpoteza third party ila source anaipata ip yako.....Na ndiyo maana tcra walivyotoa order kwa MNOs wablock Twitter/Facebook/Instagram kipindi cha jiwe lakini ukiswitch ON VPN ulikuwa una access vizuri because ilikuwa inampoteza Third party(MNO) na ndiyo lengo ila source(VPN /Proxy owner anajua ulivyokuja na local ip yako).
 
Sawa lengo la kutumia proxy/vpn ni kumpoteza third party ila source anaipata ip yako.....Na ndiyo maana tcra walivyotoa order kwa MNOs wablock Twitter/Facebook/Instagram kipindi cha jiwe lakini ukiswitch ON VPN ulikuwa una access vizuri because ilikuwa inampoteza Third party(MNO) na ndiyo lengo ila source(VPN /Proxy owner anajua ulivyokuja na local ip yako).
Tatizo ni kwamba hio order ya kutaka ip adress ilikuwa ni kama surprise, watu walikuwa washatumia jamiiforums almost kwa miaka na hapa hata wangeanza kujificha kwenye vpn au proxy ingekuwa useless kama kungekuwa na logs za ip adress walizokuwa wanatumia kabla ya kuanza kujificha endapo jamiiforums wangetoa ushirikiano.

Yote kwa yote tunashukuru mambo haya yalipita na tuombee iwe never and never again,

Vibe la kuchangia humu ndani lingekuwa limepungua sana, imagine kwamba tu unajua unachoandika hakina uhuru mda wowote uliemsema akipata hasira anakutumia difenda,
 
Ajabu ni kuwa usiwaamini sana kuwa wahusika vingine ni vitoto vimo humu kazi ni kujiita usalama uchwara .

Vikikufuata ukavieleza kuwa uko tayari vikutafute vinaishia mitini kimoja kikasema nakupa namba tuzungumze ili nikueleweshe nikakipa namba makusudi .

Ooops , eti kananipa mikwara mara kanajua nilipo mara kanaweza kunidaka mda wowote kakiamua nikaamua nikavunjie heshima nikahack siku mbili nikaja jua hajatumwa ila kazi kutaka kujimwambafai na mwisho ni askari polisi hapo Chang'ombe .

Nilicheka sana maana hata cheo kielimu hakana kapo tu na V mbili kakadhani maisha kamemaliza .

Nikasema wacha nikatese pia nikatafuta namna nikameet nako nikakaeleza ujinga kanaoufanya kakaishia kucheka tu na kusema sorry bro ni kufurahisha genge .

Nowdays sikaoni Jf kama una ID mpya stop doing that ujinga utakuja kukukost bwana mdogo .

Pona yako ni kuwa ulikuwa ni chapombe mwenzangu ila bila hivyo ningekuchezesha kinungenunge .

Ninyi akina Chabrosy na nokwenumuya kaeni vizuri na vitoto vyenu viishi katika misingi ya kazi na ethics zenu.
Kasheshe
 
Maxmeello angeunga Mkono Juhudi watu Wazito wazito waliomo humu wangeteketea sana
Mtu mwenye jicho pevu la mbali hawezi kufanya jambo kama hilo bila kufanya tathmini ya kina. Ilikuwa wazi kwa kila mwenye jicho la mwewe kwamba asingalifika popote
 
Behind the scene Bado Kuna mengi usiyo yajua...
Datc mtu kama kigogo Ali opt kutumia Tweeter why??
Tupo nyuma ya keyboard [emoji3491] [emoji3491]
Hatarisha usalama wa nchi then uone kama hauto patikana??
Let say
Anzisha thread hapa uki utangazia uma kua utaenda kulipua let's say miondombinu yetu sehemu alaf tukio litokee then uone kama utaachwa na kulindwa?!
Najalibu kuwaza
Tunaweza kuulinda UGAIDI hata mello najua hawezi
Nacho jua hapa Jf serikali iki itaji taarifa zako zinapatikana....
najalibu kuwaza
Kigog alitumia iphone. Plus vpn. Yan hapo ni kofuli la moto. Tena zile vpn za kulipia pesa nzuri.
 
Ajabu ni kuwa usiwaamini sana kuwa wahusika vingine ni vitoto vimo humu kazi ni kujiita usalama uchwara .

Vikikufuata ukavieleza kuwa uko tayari vikutafute vinaishia mitini kimoja kikasema nakupa namba tuzungumze ili nikueleweshe nikakipa namba makusudi .

Ooops , eti kananipa mikwara mara kanajua nilipo mara kanaweza kunidaka mda wowote kakiamua nikaamua nikavunjie heshima nikahack siku mbili nikaja jua hajatumwa ila kazi kutaka kujimwambafai na mwisho ni askari polisi hapo Chang'ombe .

Nilicheka sana maana hata cheo kielimu hakana kapo tu na V mbili kakadhani maisha kamemaliza .

Nikasema wacha nikatese pia nikatafuta namna nikameet nako nikakaeleza ujinga kanaoufanya kakaishia kucheka tu na kusema sorry bro ni kufurahisha genge .

Nowdays sikaoni Jf kama una ID mpya stop doing that ujinga utakuja kukukost bwana mdogo .

Pona yako ni kuwa ulikuwa ni chapombe mwenzangu ila bila hivyo ningekuchezesha kinungenunge .

Ninyi akina Chabrosy na nokwenumuya kaeni vizuri na vitoto vyenu viishi katika misingi ya kazi na ethics zenu.
Aisee
 
Kuna kipindi hapo awamu ya tano palikuwa na hali ya hatari kwa mtandao wa jamii forums kushinikizwa kutoa kutoa namba za utambulishi za internet IP ADRESS za wanachama wanaokosoa serikali.


Ili uzielelewe kirahisi ip adress ni kwamba tunavyopiga simu ama kutuma meseji namba zetu huwa zinarekodiwa kwenye simu za watu tuliowapigia pamoja na kwenye rekodi za mitandao ya simu, hizi namba mfano wake ni 0769xxxxx. Basi na kwenye internet hakuna utofauti sana ila huku namba za utambulisho zinaitwa ip adress mfano wake huwa ni 192.268.xxx.xxx, hizi namba hazijirudii kama ilivyo kwa namba za simu kila mtu ana yake (ukizima simu na kuwasha ip inabadilika lakini itakuwa ya kwako tu), ukitaka kuijua ip adress yako tembelea >> hapa <<

ukitembelea tovuti yoyote mfano jamiiforums. com, mitandao ya simu itaona kwamba ip adress inayotumika kwenye simu yako imetembelea jamii forums lakini hawawezi kujua account unayotumia, hapa watajua tu umetembelea tovuti zipi na wanaweza kublock ip adress zote za mitandao yote simu nchini zisiweze kuingia tovuti flani na ndio maana watu hapa huwa wanatumia vpn ambazo zinawaruhusu kutumia internet kwa kutumia ip adress za nchi nyingine na inakuwa ngumu mitandao ya simu kuju hata tovuti unazotembelea maana ip adress unayotumia sio yao tena.

Kwa upande wa tovuti tunazotembelea kama jamiiforums, wao ndio wenye wanaweza kujua account flani inatumia ip adress flani lakini hawana uwezo wa kujua namba ya simu ya anaeitumia hio ip adress. kwa lugha nyepesi hapa ni kwamba ili mtu mwenye account humu jf akamatwe kupitia namba yake ya simu inabidi jamiiforums na mitandao ya simu waungane, Yani wanaosimamia jamiiforums waziambie idara zinazosimamia mitandao ya simu kwamba account flani inatumia ip adress flani au iliwahi kutumia adress flani, hizo ip adress zinaanza kufuatiliwa zilikuwa zinatumika kwenye simu ipi, hapo watajua namba ya simu na mmiliki mwenye wake.

Sasa kilichotokea enzi hizo ni kwamba tayari kule walikuwa na access ya kujua namba za simu zinazotembelea jf na wanauwezo wa kumjua mtu endapo jf wakitoa ushirikiano, na ndio hapo sasa jamiiforums wakawa wanafatwa kutoa ip adress zinazotumika na accounts kadhaa ili kuweza kuwatambua ni kina nani wanaikosoa serikali.


Palizuka patashika na tafrani humu ndani isiyo ya kawaida, ilifikia kipindi jamii forums ilitaka kufungwa kabisa kwasababu ya kuwaambia serikali kwamba server za jamiiforums zipo huko ulaya na sheria za server za huko zinatia ngumu kwenye kuvujisha ip adress kwenye masuala ya uhuru wa maoni. Serikali nayo ilichachamaa na kesi zikawa nyingi na figisu kibao tu na baadhi ya viongozi wa jf waliwekwa kizuizini walikatazwa hata kusafiri nje ya jiji.

Tunashukuru hili lilipita salama hasa kwa usaidizi wa sheria za server za nje kuwa na sheria kali zinazolaani kuvujisha ip adress kiholela, balozi za nchi za ulaya na marekani nazo ziliweza kukemea uvunjifu wa privacy za watu mitandaoni, nao uongozi wa jamiiforums hawakutuangusha.

Baada ya balaa hili, ilipelekea kuongezewa baadhi ya vipengere katika sheria za nchi zinazohusu privacy za watu mitandaoni na pia kwa sasa jamiiforums hawarekodi ip adress zetu kwa usalama wetu endapo zikiweza kuvuja kwa watu wanaoweza kuhatarisha usalama wetu watumiaji.

Leo hii watu wengi sana humu waliokuwa wakikosoa serikali awamu ile wangekua wameshapitia msoto mkali sana gerezani, hasa ikizingatiwa maafande walishapewa ruhusa na rais wa awamu hio kuwashushia vipigo vizito wafungwa na namnukuu "Wafungwa wafanyishwe kazi usiku na mchana", "wapigwe mateke"

Before ungoje jamii forum iku protect, you need to protect yourself.
 
Kuna kipindi hapo awamu ya tano palikuwa na hali ya hatari kwa mtandao wa jamii forums kushinikizwa kutoa kutoa namba za utambulishi za internet IP ADRESS za wanachama wanaokosoa serikali.


Ili uzielelewe kirahisi ip adress ni kwamba tunavyopiga simu ama kutuma meseji namba zetu huwa zinarekodiwa kwenye simu za watu tuliowapigia pamoja na kwenye rekodi za mitandao ya simu, hizi namba mfano wake ni 0769xxxxx. Basi na kwenye internet hakuna utofauti sana ila huku namba za utambulisho zinaitwa ip adress mfano wake huwa ni 192.268.xxx.xxx, hizi namba hazijirudii kama ilivyo kwa namba za simu kila mtu ana yake (ukizima simu na kuwasha ip inabadilika lakini itakuwa ya kwako tu), ukitaka kuijua ip adress yako tembelea >> hapa <<

ukitembelea tovuti yoyote mfano jamiiforums. com, mitandao ya simu itaona kwamba ip adress inayotumika kwenye simu yako imetembelea jamii forums lakini hawawezi kujua account unayotumia, hapa watajua tu umetembelea tovuti zipi na wanaweza kublock ip adress zote za mitandao yote simu nchini zisiweze kuingia tovuti flani na ndio maana watu hapa huwa wanatumia vpn ambazo zinawaruhusu kutumia internet kwa kutumia ip adress za nchi nyingine na inakuwa ngumu mitandao ya simu kuju hata tovuti unazotembelea maana ip adress unayotumia sio yao tena.

Kwa upande wa tovuti tunazotembelea kama jamiiforums, wao ndio wenye wanaweza kujua account flani inatumia ip adress flani lakini hawana uwezo wa kujua namba ya simu ya anaeitumia hio ip adress. kwa lugha nyepesi hapa ni kwamba ili mtu mwenye account humu jf akamatwe kupitia namba yake ya simu inabidi jamiiforums na mitandao ya simu waungane, Yani wanaosimamia jamiiforums waziambie idara zinazosimamia mitandao ya simu kwamba account flani inatumia ip adress flani au iliwahi kutumia adress flani, hizo ip adress zinaanza kufuatiliwa zilikuwa zinatumika kwenye simu ipi, hapo watajua namba ya simu na mmiliki mwenye wake.

Sasa kilichotokea enzi hizo ni kwamba tayari kule walikuwa na access ya kujua namba za simu zinazotembelea jf na wanauwezo wa kumjua mtu endapo jf wakitoa ushirikiano, na ndio hapo sasa jamiiforums wakawa wanafatwa kutoa ip adress zinazotumika na accounts kadhaa ili kuweza kuwatambua ni kina nani wanaikosoa serikali.


Palizuka patashika na tafrani humu ndani isiyo ya kawaida, ilifikia kipindi jamii forums ilitaka kufungwa kabisa kwasababu ya kuwaambia serikali kwamba server za jamiiforums zipo huko ulaya na sheria za server za huko zinatia ngumu kwenye kuvujisha ip adress kwenye masuala ya uhuru wa maoni. Serikali nayo ilichachamaa na kesi zikawa nyingi na figisu kibao tu na baadhi ya viongozi wa jf waliwekwa kizuizini walikatazwa hata kusafiri nje ya jiji.

Tunashukuru hili lilipita salama hasa kwa usaidizi wa sheria za server za nje kuwa na sheria kali zinazolaani kuvujisha ip adress kiholela, balozi za nchi za ulaya na marekani nazo ziliweza kukemea uvunjifu wa privacy za watu mitandaoni, nao uongozi wa jamiiforums hawakutuangusha.

Baada ya balaa hili, ilipelekea kuongezewa baadhi ya vipengere katika sheria za nchi zinazohusu privacy za watu mitandaoni na pia kwa sasa jamiiforums hawarekodi ip adress zetu kwa usalama wetu endapo zikiweza kuvuja kwa watu wanaoweza kuhatarisha usalama wetu watumiaji.

Leo hii watu wengi sana humu waliokuwa wakikosoa serikali awamu ile wangekua wameshapitia msoto mkali sana gerezani, hasa ikizingatiwa maafande walishapewa ruhusa na rais wa awamu hio kuwashushia vipigo vizito wafungwa na namnukuu "Wafungwa wafanyishwe kazi usiku na mchana", "wapigwe mateke"
Well presented
 
Unaunga mkono hoja gani? Maana kati ya watu wanafiki na waimba mapambio kwenye hiyo awamu, wewe ulikuwa ni mmoja wao.

Na ulikuwa unakera sana pamoja na wale wenzako. Ila ilipoingia awamu ya huyu mama, akili ndiyo zimekukaa sawa. Maana unaonekana hauko kwenye kundi la walamba asali

Jamaa alikuwa na kihere here adi sio poa
 
Back
Top Bottom