Wengi wanamkubali Bob Marley ila Mfalme wa Reggae duniani ni Lucky Dube

Wengi wanamkubali Bob Marley ila Mfalme wa Reggae duniani ni Lucky Dube

Nimesoma hii mada yako kwa mara ya kwanza kichwa cha habari tu nikacheka sana:

Umewahi kusikia Wakongwe na Wajuzi has a wa muziki wakikuambia kuwa :-

''Lucky dube hakuimba Reggae?'' Ingekuwa vizuri ungewauliza kwanini. Ni hivii

Original Reggae inaitwa Roots reggae, ambayo kuanzia kupiga vyombo, Itikadi na ujumbe unafeel hasaa na kupata elimu, Sweet Reggae ya kina Dube na Senzo imechakachuliwa unachosikia hasa ni ujumbe tu na ipo soft sana.

Btw, Mimi nampenda sana Joseph Hill na nasikiliza nyimbo zake na kuangalia video zake in Culture group karibu kila siku bila kuchoka.

Huwezi kumlinganisha kabisa Lucky Dube hata na Tiken Jah Fakoly leave away Bob Marley, when it comes to Real Reggae.
 
1. Paragraph ya kwanza tu unaonekana hujui mambo ya kidunia. Aliyeuwawa ni Lucky Dube (kwa risasi) Bob alikufa tu kawaida kwa kansa iliyoanzia kwenye kidole chake cha mguu.
2. Huwezi mlinganisha Lucky Dube na mkongwe Bob. Lucky anaimba na vinanda sana (huwa tunasema nyimbo zake ni kama kwaya) Bob anaimba ile "Roots Rocky Reggae" yenyewe.
3. Kasikilize nyimbo za Bob kama "Jah live" "Jump Nyabinghi" "Roots Rock Reggae" "Chant Down Babylon" "Them Belly Fully" "Bad card" "Concrete Jungle" "Kaya" najua kwa uelewa wako umeishia zile nyimbo common kama "No woman no cry" "Africa Unite" "Zimbabwe"
4. Fanya hayo hapo juu No. 3 halafu uje ufute huu uzi wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Peace be upon you Rasta...!
 
Usizi...... Lucky Dube hajahusica kabisa ni wimbo wa wapiga vyombo wake (The Slave) na ndio waliouimba .
Nyimbo nyingi za lucky ukizisikiliza zina hisia sana yan alikuwa anaimba kwa hisia kwel mfan remember me,slave,usizi, back to my roots hii back to my roots aliiperform 93 kuna clip YouTube ile permfomance yake kuanzia upigaji vyombo mpaka saut ilikuwa balaa mim nyimbo za bob azinigusi kabisa yan japo alikuw vizur ila ni vile kila mtu na anaemkubali. Kuna moja hiv ya lucky inaitwa hands that gives ina message nzur sana
 
Bob Marley mwenyewe kapelekwa studio na Desmond Dekker.

Bob Marley alikuwa fundi wa welding tu, Desmond Dekker alikuwa kashaanza kurekodi na kupata hits, akamuunganishia Bob Marley studio.

Dhana nzima ya mfalme iko subjective.

Mfalme wa Reggae ni His Imperial Majesty Ras Tafari Makonnen, Haile Selassie I, Negusa Nagast, King of Kings, Conquering Lion of the Tribe of Judah, Emperor of Ethiopia, Prime Defender of the Faith. Elect of God.Power of the Trinity. Janhoy.Talaqu Meri. Abba Tekel. Qadamawi. Qadamawi.

Jah Rastafari.
I&I Man!
 
Nakubali mkuu... wengi wanawajua Bob Marley Lucky Dube na Alpha Blond tuu ila kuna wanamuziki wa Reggae kibao wakuwasikiliza na ukapata Hisia za Mbali Sana mfano kina Romeo nk
Kama huwajui Admiral Tibet, Abyssinians, Aggravators, Aswad, Augustus Pablo, Black Uhuru, Bunny Wailer, Burning Spear, Culture, Delroy Wilson, Dwreck Morgan, Dennis Brown, Desmimd Dekker, Freddie McGregor, Gregory Isaacs, Half Pint, Horace Andy, John Holt, Johnny Clarke, Junior Byles, Junior Delgado, Junior Murvin, Keith Hudson, King Tubby, Laurel Aitken, Mad Professor, Matisyahu, Mikey Dread, Pablo Gad, Peter Tosh, Prince Jammy, Ras Michael, Ras Shiloh, Rastafari Elders, Roots Radics, Scientist, Sizzla Kalonji, Sly and Tobbie, Tappa Zukie, The Congos, The Heptones, The Mighty Diaminds, The Skatalites, The Upsetters, Toots and the Maytals, U-Roy, Vegas, Wailing Souls, Yabby You, Yammi Bolo, Yellowman na wengine wengi kama hao...

Unasikiliza Bob Marley, Lucky Dube, Alpha Blondy na UB40 tu, hujapata kina cha kuweza kuhukumu mfalme kwenye reggae.

Hiyo ni sample ndogo tu kwenye collection yangu ya reggae ninayosikiliza sasa hivi.
 
Kwakigezo cha kuusikiliza mziki Lucky Dube hachoshi hasa kwa sisi waafrica maana ana radha ya Muafrica ila kwa uandishi hata yeye Dube anapiga sakute zote kwa Marley..!!
 
Achaneni kulinganisha Bob na waimba kwaya bana afu kuweni na Adabu# IF CORONA KILLS WEED WILL KILL IT.
 
Nimesoma hii mada yako kwa mara ya kwanza kichwa cha habari tu nikacheka sana:

Umewahi kusikia Wakongwe na Wajuzi has a wa muziki wakikuambia kuwa :-

''Lucky dube hakuimba Reggae?'' Ingekuwa vizuri ungewauliza kwanini. Ni hivii

Original Reggae inaitwa Roots reggae, ambayo kuanzia kupiga vyombo, Itikadi na ujumbe unafeel hasaa na kupata elimu, Sweet Reggae ya kina Dube na Senzo imechakachuliwa unachosikia hasa ni ujumbe tu na ipo soft sana.

Btw, Mimi nampenda sana Joseph Hill na nasikiliza nyimbo zake na kuangalia video zake in Culture group karibu kila siku bila kuchoka.

Huwezi kumlinganisha kabisa Lucky Dube hata na Tiken Jah Fakoly leave away Bob Marley, when it comes to Real Reggae.
Due hatA hawafikii toots and the metles
 
Dunia yote inamtukuza na kumuhusudu Bob Marley (Culture?) kama mfalme wa muziki rege, sijui wanatumia vigezo gani hasa. Wanamshusha na kumchukulia poa Lucky Dube sijui kwakua Bob aliuawa ndio wanakua na sympathy naye.

Kwa upande wangu japo Dube alimuheshimu Bob ila kwangu dube ndio mfalme wa muziki wa rege duniani. Nyimbo safi zenye ujumbe mwanana, beats zilizoenda shule performance za hadhi ya nyota 15 alizofanya! Nina uhakika Bob angekuwepo wakati Dube Anatoa Album zake 3 za mwanazo (hasa Slave) angempigia magoti Dube na kumsujudu kwa nyimbo bora alizotoa.

Huyu jamaa anajua hasa sikiliza nyimbo zake zote 80% lazima uzipende tu, ukutaka ujue ukali wa huyu mtu angalia Live performance zake utadata.

Najua mtanipinga humu na kunipopoa ila kwangu huyu ndio nishampitisha kua Mfalme wa Rege Duniani, hakuna mwingine.

Ninauhakika huko alipo kapumzika kwa amani maana katimiza kile kilichomleta duniani (Kuhamasisha watu waamke) japo alikua na mapungufu yake kama mtu yoyote yule ila naamini huyu mtu mbingu ni yake na tunaweza mwita mtakatifu kwa kazi yake nzuri.

Sikiliza hizi



Hata Mimi huwa namkubali luck dube
 
Dunia yote inamtukuza na kumuhusudu Bob Marley (Culture?) kama mfalme wa muziki rege, sijui wanatumia vigezo gani hasa. Wanamshusha na kumchukulia poa Lucky Dube sijui kwakua Bob aliuawa ndio wanakua na sympathy naye.

Kwa upande wangu japo Dube alimuheshimu Bob ila kwangu dube ndio mfalme wa muziki wa rege duniani. Nyimbo safi zenye ujumbe mwanana, beats zilizoenda shule performance za hadhi ya nyota 15 alizofanya! Nina uhakika Bob angekuwepo wakati Dube Anatoa Album zake 3 za mwanazo (hasa Slave) angempigia magoti Dube na kumsujudu kwa nyimbo bora alizotoa.

Huyu jamaa anajua hasa sikiliza nyimbo zake zote 80% lazima uzipende tu, ukutaka ujue ukali wa huyu mtu angalia Live performance zake utadata.

Najua mtanipinga humu na kunipopoa ila kwangu huyu ndio nishampitisha kua Mfalme wa Rege Duniani, hakuna mwingine.

Ninauhakika huko alipo kapumzika kwa amani maana katimiza kile kilichomleta duniani (Kuhamasisha watu waamke) japo alikua na mapungufu yake kama mtu yoyote yule ila naamini huyu mtu mbingu ni yake na tunaweza mwita mtakatifu kwa kazi yake nzuri.

Sikiliza hizi



Marketing na promotion tu. Wamarekani walikuwa behind Bob Marley. Lucky dube hakupata promo kali kama ya bob marley ila kimuziki, lucky dube ana nyimbo nyingi kalia zaidi
 
Watu wanavyo underrate kazi za lucky philip dube wanafanya nnakosa hata cha kuandika
Ni kweli ila Tittle ya Uzi huu ndio inayasababisha hayo... mfalme hua mmoja tuu hilo tulikubali... japo kiukweli wengi wanao mu underrate Lucky Dube ndio wanaozijua nyimbo zake nyingi mpaka kuziimba kuliko za Bob Marley...

Nasikiliza hapa Wimbo wake wa (The One by Lucky Dube) wengi hawaujui maana wamezikalili hit track zake tuu.
 
Kumfananisha marley na dube mkuu,in kama kusifia maji ukidai maji Ya bahari na ziwani yote sawa tuu,bila kupimia upana wake..
 
1. Paragraph ya kwanza tu unaonekana hujui mambo ya kidunia. Aliyeuwawa ni Lucky Dube (kwa risasi) Bob alikufa tu kawaida kwa kansa iliyoanzia kwenye kidole chake cha mguu.
2. Huwezi mlinganisha Lucky Dube na mkongwe Bob. Lucky anaimba na vinanda sana (huwa tunasema nyimbo zake ni kama kwaya) Bob anaimba ile "Roots Rocky Reggae" yenyewe.
3. Kasikilize nyimbo za Bob kama "Jah live" "Jump Nyabinghi" "Roots Rock Reggae" "Chant Down Babylon" "Them Belly Fully" "Bad card" "Concrete Jungle" "Kaya" najua kwa uelewa wako umeishia zile nyimbo common kama "No woman no cry" "Africa Unite" "Zimbabwe"
4. Fanya hayo hapo juu No. 3 halafu uje ufute huu uzi wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG_20210219_215917.jpg
 
Hujui reggae muzik wewe... luck dube na sweat reggae wapi na wapi? Dube anaimba kwaya. Sweetie reggae walikuwa wanaimba UB40 kitambo hiyo sasa muziki wao wale unafanana na wa luck dube? Sweetie reggae inambwa na akina Morgan heritage family, octane,qeen ifrica etc ambawo muziki wenyewe ni tofauti kabisa na reggae aliyokuwa akiimba lucky dube.... lakini aina zote hizo za reggae zimetokana na roots ambayo alikuwa akiimba bob, so kumfanisha bob na dube ni sawa kumfananisha kwenye soka fei toto na johan cruyff
Huna akili na Reggae huijui,nitajie aina za reggae km utaikuta "Kwaya reggae" Unaongea ongea kwa sauti hadi Unaongea ujinga! Niambie "Kwaya reggae" ndio nini?
 
Back
Top Bottom