Alpha Blondy
JF-Expert Member
- Oct 6, 2018
- 304
- 440
cha ajabu senzo yupo hai paka leo, aliugua tuuSio kama simpendi Lucky Dube ila muziki wake nilianza kuupotezea pale alipohusishwa na kifo cha Senzo
"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
Aisee haya mkuu Bujibuji kama unaweza kumdharau Lucky kwa kiasi hicho sina cha kukwambiaLucky ni sawa na toT taarab
Kalikawe alikuwa ni mkali Sana, sema to hakuwa na vyombo Kama vya DubeAisee haya mkuu Bujibuji kama unaweza kumdharau Lucky kwa kiasi hicho sina cha kukwambia
Sent using Jamii Forums mobile app
Dunia yote inamtukuza na kumuhusudu Bob Marley (Culture?) kama mfalme wa muziki rege, sijui wanatumia vigezo gani hasa. Wanamshusha na kumchukulia poa Lucky Dube sijui kwakua Bob aliuawa ndio wanakua na sympathy naye.
Kwa upande wangu japo Dube alimuheshimu Bob ila kwangu dube ndio mfalme wa muziki wa rege duniani. Nyimbo safi zenye ujumbe mwanana, beats zilizoenda shule performance za hadhi ya nyota 15 alizofanya! Nina uhakika Bob angekuwepo wakati Dube Anatoa Album zake 3 za mwanazo (hasa Slave) angempigia magoti Dube na kumsujudu kwa nyimbo bora alizotoa.
Huyu jamaa anajua hasa sikiliza nyimbo zake zote 80% lazima uzipende tu, ukutaka ujue ukali wa huyu mtu angalia Live performance zake utadata.
Najua mtanipinga humu na kunipopoa ila kwangu huyu ndio nishampitisha kua Mfalme wa Rege Duniani, hakuna mwingine.
Ninauhakika huko alipo kapumzika kwa amani maana katimiza kile kilichomleta duniani (Kuhamasisha watu waamke) japo alikua na mapungufu yake kama mtu yoyote yule ila naamini huyu mtu mbingu ni yake na tunaweza mwita mtakatifu kwa kazi yake nzuri.
Sikiliza hizi
senzo is alive son...unaonekani unasikiliza sana story za vilabuni wewe.....Sio kama simpendi Lucky Dube ila muziki wake nilianza kuupotezea pale alipohusishwa na kifo cha Senzo
"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
Naunga mkono hojaDunia yote inamtukuza na kumuhusudu Bob Marley (Culture?) kama mfalme wa muziki rege, sijui wanatumia vigezo gani hasa. Wanamshusha na kumchukulia poa Lucky Dube sijui kwakua Bob aliuawa ndio wanakua na sympathy naye.
Kwa upande wangu japo Dube alimuheshimu Bob ila kwangu dube ndio mfalme wa muziki wa rege duniani. Nyimbo safi zenye ujumbe mwanana, beats zilizoenda shule performance za hadhi ya nyota 15 alizofanya! Nina uhakika Bob angekuwepo wakati Dube Anatoa Album zake 3 za mwanazo (hasa Slave) angempigia magoti Dube na kumsujudu kwa nyimbo bora alizotoa.
Huyu jamaa anajua hasa sikiliza nyimbo zake zote 80% lazima uzipende tu, ukutaka ujue ukali wa huyu mtu angalia Live performance zake utadata.
Najua mtanipinga humu na kunipopoa ila kwangu huyu ndio nishampitisha kua Mfalme wa Rege Duniani, hakuna mwingine.
Ninauhakika huko alipo kapumzika kwa amani maana katimiza kile kilichomleta duniani (Kuhamasisha watu waamke) japo alikua na mapungufu yake kama mtu yoyote yule ila naamini huyu mtu mbingu ni yake na tunaweza mwita mtakatifu kwa kazi yake nzuri.
Sikiliza hizi
Wandering up and down
The streets of Soweto
No place to call my home
I tried to find you
Many years ago
But the woman you're married to
was no good at all
Daddy where ever you are remember me
In what ever you, do I love you
Huu wimbo aliuandika kwa uchungu[emoji22].
R.i.p lucky dube
mimi pia namkubali sana Dube
Bob simuelewi kama 2pac
Lucky Dube alikuwa Mfalme wa Raggae kweli kweli.
Na pia alikuwa hatumii MMEA.
Hahaha kwakweli mkuu.jina lako lenyewe tamu tayari..utawezaje kumuelewa legendary sasa....R.I.P BOB..
Hahaha kwakweli mkuu.
ila sifurahishwi na baadhi ya mashabiki wa Bob nesta kuonyesha dharau ya waziwazi kwa dube kisa kafananishwa, hio ilikua ni mtazamo wa shabiki kama wanahisi hafanani yapo maneno ya kawaida na fact za kumkosoa mleta mada sio kejeli/dharau haipendezi wakuu
Siunaona kama wewe unavyosema mkuu.mamaa princess ndo maoni ya wadau hayo...wamekerwa na kitendo cha kumfananisha mwana na huyo dogo...huyo dogo mwenyewe amekuwa inspired na Bob halafu leo wanataka kumuita yeye ndo mfalme hiyo mambo duniani....
Umemsahau Burning Spear kama sijakosea jina lake, ni moja ya wakongwe Wa rootsUngekua msikilizaji mzuri wa reggae ungefahamu Bob Nesta Marley na Luck Dube wanapiga aina tofauti ya reggae nikiwa na maana Bob Marley alipiga Roots Reggae na Lucky Dube alipiga Sweet Reggae.
Katika tasnia ya muziki wa reggae inaonyesha tayari hivyo ni vionjo tofauti vya muziki.
Usifananishe Bob Marley na vitu vya kijinga kabisa
Nasisitiza Bob Marley mfananishe na kina Peter Tosh, Joseph hill, Israel Vibration ana Alpha Blondy halafu huyo Luck Dube mfananishe na kina kin Senzo.
Full Stop
Naelewa, nisome tena alihusishwa na kifo cha Senzo. Senzo hakufa na alikuwa mafichoni. Si ametoka mafichoni baada ya huyu jamaa kufa.senzo is alive son...unaonekani unasikiliza sana story za vilabuni wewe.....