Wengi wanamkubali Bob Marley ila Mfalme wa Reggae duniani ni Lucky Dube

Wengi wanamkubali Bob Marley ila Mfalme wa Reggae duniani ni Lucky Dube

hi
Chief unafeli wapi? Huwezi kumfananisha Robert Nesta Marley na Lucky Dube hata siku moja. Hata kama Lucky Dube ana nyimbo nzuri sikatai lakini Bob Marley ni habari nyingine kabisa. Kuanzia album ya Catch a fire
Legend
Uprising
Rastaman vibration
Natural mystic
Nutty dread
Rebel music
Babylon by bus
Survival
Soul Rebel
Soul revolution
Burnin
Kaya
Exodus
Talkin blues
Unaweza sema ipi ni album mbaya kati ya hizo au nyimbo ipi ni mbaya ndani ya hizo albums?

Hata Mesi watu wanamkubali sana lakini bado Pele ni mfalme wa soka.Hivyo ni saa na wew kumkubali Lucky Dube lakini Bob Marley bado ni mfalme wa Reggae.

"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
Hizo album 80% nimekuwa nikizisikiliza ila hakuna niliyoinjoy kama hio ya Babylon by Bus!
Bro wangu alikuwa anapenda sana reggae za Bob nikajikuta nimefall pia kwa huyo mwamba.
 
Ungekua msikilizaji mzuri wa reggae ungefahamu Bob Nesta Marley na Luck Dube wanapiga aina tofauti ya reggae nikiwa na maana Bob Marley alipiga Roots Reggae na Lucky Dube alipiga Sweet Reggae.

Katika tasnia ya muziki wa reggae inaonyesha tayari hivyo ni vionjo tofauti vya muziki.

Usifananishe Bob Marley na vitu vya kijinga kabisa

Nasisitiza Bob Marley mfananishe na kina Peter Tosh, Joseph hill, Israel Vibration ana Alpha Blondy halafu huyo Luck Dube mfananishe na kina kin Senzo.


Full Stop
Mkuu umenikumbusha hao

Israel vibration - Rudeboy shufflin

Dude halichoshi[emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungekua msikilizaji mzuri wa reggae ungefahamu Bob Nesta Marley na Luck Dube wanapiga aina tofauti ya reggae nikiwa na maana Bob Marley alipiga Roots Reggae na Lucky Dube alipiga Sweet Reggae.

Katika tasnia ya muziki wa reggae inaonyesha tayari hivyo ni vionjo tofauti vya muziki.

Usifananishe Bob Marley na vitu vya kijinga kabisa

Nasisitiza Bob Marley mfananishe na kina Peter Tosh, Joseph hill, Israel Vibration ana Alpha Blondy halafu huyo Luck Dube mfananishe na kina kin Senzo.


Full Stop
Mzee baba uko nondo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Paragraph ya kwanza tu unaonekana hujui mambo ya kidunia. Aliyeuwawa ni Lucky Dube (kwa risasi) Bob alikufa tu kawaida kwa kansa iliyoanzia kwenye kidole chake cha mguu.
2. Huwezi mlinganisha Lucky Dube na mkongwe Bob. Lucky anaimba na vinanda sana (huwa tunasema nyimbo zake ni kama kwaya) Bob anaimba ile "Roots Rocky Reggae" yenyewe.
3. Kasikilize nyimbo za Bob kama "Jah live" "Jump Nyabinghi" "Roots Rock Reggae" "Chant Down Babylon" "Them Belly Fully" "Bad card" "Concrete Jungle" "Kaya" najua kwa uelewa wako umeishia zile nyimbo common kama "No woman no cry" "Africa Unite" "Zimbabwe"
4. Fanya hayo hapo juu No. 3 halafu uje ufute huu uzi wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sipendi kum quote mtoa mada,

Ila mm naquote wewe [emoji23]

Mzee unaujua huu mziki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: ARV
Dube ni kiwango Cha Kalikawe
Mimi mwenyewe nilitaka niseme hivyo hivyo Luck Dube ni kiwango cha kalikawe..........Watoto waliozaliwa kipindi cha JK sijuhi wanashida gani utawasikia Messi ni zaidi ya Pele na Maradona .............hivi walishawaona Uruguay na West German walivyokuwa wanacheza miaka hiyo .......... angalau Ronaldo de Lima alikutana na fleva hiyo na ndio maana alikuwa na soka ya maaana lakini hakudumu sana .........
 
Dunia yote inamtukuza na kumuhusudu Bob Marley (Culture?) kama mfalme wa muziki rege, sijui wanatumia vigezo gani hasa. Wanamshusha na kumchukulia poa Lucky Dube sijui kwakua Bob aliuawa ndio wanakua na sympathy naye.

Kwa upande wangu japo Dube alimuheshimu Bob ila kwangu dube ndio mfalme wa muziki wa rege duniani. Nyimbo safi zenye ujumbe mwanana, beats zilizoenda shule performance za hadhi ya nyota 15 alizofanya! Nina uhakika Bob angekuwepo wakati Dube Anatoa Album zake 3 za mwanazo (hasa Slave) angempigia magoti Dube na kumsujudu kwa nyimbo bora alizotoa.

Huyu jamaa anajua hasa sikiliza nyimbo zake zote 80% lazima uzipende tu, ukutaka ujue ukali wa huyu mtu angalia Live performance zake utadata.

Najua mtanipinga humu na kunipopoa ila kwangu huyu ndio nishampitisha kua Mfalme wa Rege Duniani, hakuna mwingine.

Ninauhakika huko alipo kapumzika kwa amani maana katimiza kile kilichomleta duniani (Kuhamasisha watu waamke) japo alikua na mapungufu yake kama mtu yoyote yule ila naamini huyu mtu mbingu ni yake na tunaweza mwita mtakatifu kwa kazi yake nzuri.

Sikiliza hizi



NARURAL MYSTIC............. BOB MARLEY AND THE WAILERS.............. sikiliza huu wimbo kisha ufananishe na wimbo wowote wa DUBE uone huyu bwana alivyompita LUCK kwa mbaaali. na si huu tu
 
asikilize Natural Mystic ya Bob kisha atafakari kwa makini na situation hii ya Corona ........Bob alikuwa foreseer
namuwekea kabisa lysic yake.....Bob alishaiongelea Corona kitambo
There's a natural mystic
Blowing through the air
If you listen carefully now you will hear
This could be the first trumpet
Might as well be the last
Many more will have to suffer
Many more will have to die

Don't ask me why
Things are not the way they used to be
I won't tell no lie
One and all got to face reality now
Though I try to find the answer
To all the questions they ask
Though I know it's impossible
To go living through the past
Don't tell no lie
There's a natural mystic
Blowing through the air
Can't keep them down
If you listen carefully now you will hear
Such a natural mystic
Blowing through the air
This could be the first trumpet
Might as well be the last
Many more will have to suffer
Many more will have to die
Don't ask me why
There's a natural mystic
Blowing through the air
I won't tell no lie
If you listen carefully now, you will hear
There's a natural mystic
Blowing through the air
 
Ilifika kipindi show za bob zilipigwa marufuku kufanyika usiku kuepusha maafa. yaani mwamba akawa anapiga show mchana tu.

Hapo chini Lucky dube akiimba ONE LOVE ya bob
 

Attachments

Eucharistic,

Wewe Jamaa una dharau sana. Unamlinganisha Nesta na Dube!. Halafu wewe sio mtu wa Reggae, Rasta ni kitu kimoja huwa hawana ushindani wenu wa kwenye Hiphop. Siku zote wa chini anamheshimu wa Juu. Dube mwenye alisema kwamba aliyemuinspire kuimba reggae ni Jamaican legends like Bob Marley and Peter Tosh. Akaongeza alikua hapendi tabia ya Tosh ya kuvuta bangi lakini alikuwa anaimba nyimbo nzuri hivyo ataendelea kuwaheshimu. Ndo maana nyimbo nyingi za Dube zina mashiri ya Bob. Namheshimu Dube lakini kumbuka Marley is Reggae and Reggae is Bob Marley. Legendary I and I.

Haile Selassie I KING of Kings, LORD of lords, Conquering Lion of Judah, Elect of God, the Light of the World".
 
Naona mtoa Mada anajaribu kumlinganisha Mersi wa Barcelona na Chanongo🤣🤣
 
Wengi wamemkosoa jamaa yetu hapa kwa mapenzi yake kwa lucky dube,kiuhalisia bob marley hana mpinzani kwenye upande wa reggae music lakini ukitaka burudani ya reggae lucky dube sio wa kumbeza,eti umlinganishe na alpha bondy kwel,,ngoma kama julliet and romeo,na nyinginezo.embu mpeni heshima yake bna,ila sio wa kumfananisha na nabii wa reggae bob kwl,lucky dube ameichangamsha reggae bna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom