Wengi wanamkubali Bob Marley ila Mfalme wa Reggae duniani ni Lucky Dube

Wengi wanamkubali Bob Marley ila Mfalme wa Reggae duniani ni Lucky Dube

Muziki ni burudani ikiwemo reggae,kwa upande wangu nyimbo za LUCKY PHILIP DUBE nikizisikiliza nikicheki na zile live show zake huwa naburudika hadi natokwa na machozi[emoji23]R.I.P MWAMBA[emoji22] hapa kinachomata ni burudani MISINGI yenu mkajengee nyumba..narudia tena R.I.P MWAMBA[emoji26][emoji26][emoji26]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
1. Paragraph ya kwanza tu unaonekana hujui mambo ya kidunia. Aliyeuwawa ni Lucky Dube (kwa risasi) Bob alikufa tu kawaida kwa kansa iliyoanzia kwenye kidole chake cha mguu.
2. Huwezi mlinganisha Lucky Dube na mkongwe Bob. Lucky anaimba na vinanda sana (huwa tunasema nyimbo zake ni kama kwaya) Bob anaimba ile "Roots Rocky Reggae" yenyewe.
3. Kasikilize nyimbo za Bob kama "Jah live" "Jump Nyabinghi" "Roots Rock Reggae" "Chant Down Babylon" "Them Belly Fully" "Bad card" "Concrete Jungle" "Kaya" najua kwa uelewa wako umeishia zile nyimbo common kama "No woman no cry" "Africa Unite" "Zimbabwe"
4. Fanya hayo hapo juu No. 3 halafu uje ufute huu uzi wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Them Belly full
Jah Live

Hizi nyimbo nilishawahi ombea mkopo

Ila kiujumla namsikiliza sana Dube kuliko Bob

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata Lucky Philip Dube alijua Rasta na Reggae kwasababu ya Bob Marley. Jamaa alileta revolution kuanzia ghetto to the World. Hakuanzisha Reggae lakini wanamwita muasisi kwa vile ndio ameiweka kwenye Ramani ya Dunia. Unaowaona wanaimba Reggae au kufuata imani ya rasta leo hii wote influenced by Bob Marley.
Kama vipi endeleeni tu kubishana kuhusu Diamond na Ali Kiba, haya mambo mengine yanahitaji ufahamu sana. Kama haujawahi kusoma vitabu au any article hivi vitu vingine viache tu otherwise you'll embarrass yourself.
 
Chief unafeli wapi? Huwezi kumfananisha Robert Nesta Marley na Lucky Dube hata siku moja. Hata kama Lucky Dube ana nyimbo nzuri sikatai lakini Bob Marley ni habari nyingine kabisa.
Catch a fire
Legend
Uprising
Rastaman vibration
Natural mystic
Nutty dread
Rebel music
Babylon by bus
Survival
Soul Rebel
Soul revolution
Burnin
Kaya
Exodus
Talkin blues
Ongezea na
Confrontation
Unaweza sema ipi ni album mbaya kati ya hizo au nyimbo ipi ni mbaya ndani ya hizo albums?

Hata Mesi watu wanamkubali sana lakini bado Pele ni mfalme wa soka.Hivyo ni sasa na wewe kumkubali Lucky Dube lakini Bob Marley bado ni mfalme wa Reggae.

"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
 
Sjawai ona reggae ya lucky dube ni orijino hata sku1 ,,naonaga ni kama nyimbo za kwaya,..yaan hana tofaut na waimba bongo fleva wa bongo wanaojidai wanaimba RnB..hiv RnB wanaijua,hyo waachie kina Usher,rkely na chris brown

Sasa ndo lucky dube,yaan kabisa unafananisha regae ya jamieka na ya africa...

We lazima ni mchaga tuu
Acha ushamba bro ebu tuonyeshe raggae yako tuone... Kwenye raggae kuna style nyingi za uwimbaji... Sasa lucky anaimba sweet raggae... Bob ni raggae ska & roackstead folk... Then acha kumfananisha lucky na vitu vya ajabu mkuu... Kila mmoja ana test yake kwa music... Na wote niwakali ila wanazidiana nyimbo na nyimbo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Exdous movement of jah people.[emoji445][emoji447][emoji446][emoji448][emoji441].

Kijana umezisikia kweli nyimbo za Bob sawa sawa?
Mwambie "Open your heart, uh!
And look within
Are you satisfied
With the life you're living?
We know where we're going
We know where we're from
We're leaving Babylon
We're going to the Father's land...[emoji2445][emoji2445][emoji2445][emoji377][emoji377][emoji377]

"Cᵒᵃᶜᵏʳᵒᵃᶜʰ ⁿᵘʰ ᵇᵘˢˢⁱⁿᵉˢˢ ⁱⁿⁿᵃ ᶠᵒʷˡ ᶠⁱᵍʰT"
 
Hawa wameimba miaka tofauti kabisa . Kwahiyo wangekinganishwa kama wangeiimba miaka Ile Ile
Dunia yote inamtukuza na kumuhusudu Bob Marley (Culture?) kama mfalme wa muziki rege, sijui wanatumia vigezo gani hasa. Wanamshusha na kumchukulia poa Lucky Dube sijui kwakua Bob aliuawa ndio wanakua na sympathy naye.

Kwa upande wangu japo Dube alimuheshimu Bob ila kwangu dube ndio mfalme wa muziki wa rege duniani. Nyimbo safi zenye ujumbe mwanana, beats zilizoenda shule performance za hadhi ya nyota 15 alizofanya! Nina uhakika Bob angekuwepo wakati Dube Anatoa Album zake 3 za mwanazo (hasa Slave) angempigia magoti Dube na kumsujudu kwa nyimbo bora alizotoa.

Huyu jamaa anajua hasa sikiliza nyimbo zake zote 80% lazima uzipende tu, ukutaka ujue ukali wa huyu mtu angalia Live performance zake utadata.

Najua mtanipinga humu na kunipopoa ila kwangu huyu ndio nishampitisha kua Mfalme wa Rege Duniani, hakuna mwingine.

Ninauhakika huko alipo kapumzika kwa amani maana katimiza kile kilichomleta duniani (Kuhamasisha watu waamke) japo alikua na mapungufu yake kama mtu yoyote yule ila naamini huyu mtu mbingu ni yake na tunaweza mwita mtakatifu kwa kazi yake nzuri.

Sikiliza hizi




Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom