Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
- Thread starter
- #21
Huyo ni pacomeMakonda
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ni pacomeMakonda
Kumbe na wewe ni kiaziNdo mi nashangaa
AKA pacomeHuyo charles kilian
Naunga mkono hoja 👍👏 huyo jamaa supu imemuuma roho sana lakini likikuwepo na likanywa picha zake ninazosupu imekuuma sana! huchoki kuisema next time jilegezeni tena tuwapige [emoji2772] tule supu
Wale ng'ombe hawakupimwa na daktari wana kimeta,yaani wamekula supu ya vibuduMadhara ya supu yameanza kuonekana kwa wana Uto.
Hii post ni mfano tosha
.View attachment 2812827
Hadi wewe mwenyewe jumapili supu ulikunywa na picha nilikupiga mimi mwenyewe
Unapenda sana hela eee? Hata kutaja tuu huyu nani unaomba hela?!Kuna sh ngap mkuu nimtaje ..
Na post za wana Uto tangu jana jioni zinadhihirisha wazi kabisa wana suffer from kunywa supu ya kibudu.Wale ng'ombe hawakupimwa na daktari wana kimeta,yaani wamekula supu ya vibudu
Na post za wana Uto tangu jana jioni zinadhihirisha wazi kabisa wana suffer from kunywa supu ya kibudu.
Mfatilie hata Labani og utaona ni mgonjwa anayehitaji msaada wa wenye nchi 😂😂
Na mimi ninazo kama hizo.Nimependa raba za Puma na kofia chata ya NY 😋😋.
Augustino Jay Jay Okocha.
Ni pacome wa yanga scAugustino Jay Jay Okocha.
Moja ya sifa za mwanamke ni wivuNa post za wana Uto tangu jana jioni zinadhihirisha wazi kabisa wana suffer from kunywa supu ya kibudu.
Mfatilie hata Labani og utaona ni mgonjwa anayehitaji msaada wa wenye nchi [emoji23][emoji23]
View attachment 2812852
Mbona hadi wewe ulikunywa kaka🤣🤣🤣🤣😁😁
Moja ya sifa za mwanamke ni wivu
Huyu ndiyo SAGAI GALGANO ? 🤣🤣
Sawa ila roho imekuuma sana sisi kunywa supuIngekuwa kitimoto ningekula, nyie sasa mkaandaaliwa vibudu na comredi Bashite mkapiga mbizi kwenda Kufakamia 😂😂
Wenye nchi hatukimbiliagi misosi ya kafara, hiyo picha uliyoweka unajifariji tu kwa kumvisha mwana Uto mwenzako jezi ya wenye nchi, lakini kiuhalisia mlilishwa Uto only, wenye nchi tulikuwa na jambo letu huko kwa Madiba mida ile mkilishwa hicho kibudu cha comredi Bashite.
Njaa mbaya sana 😂😂😂
Wana wivu wa kikeKivp sasa 😁🤣🤣