Wengi watashindwa kumtambua huyu ni nani

Wengi watashindwa kumtambua huyu ni nani

View attachment 2812827
Hadi wewe mwenyewe jumapili supu ulikunywa na picha nilikupiga mimi mwenyewe
.
FB_IMG_1699882710451.jpg
 
Ingekuwa kitimoto ningekula, nyie sasa mkaandaaliwa vibudu na comredi Bashite mkapiga mbizi kwenda Kufakamia 😂😂

Wenye nchi hatukimbiliagi misosi ya kafara, hiyo picha uliyoweka unajifariji tu kwa kumvisha mwana Uto mwenzako jezi ya wenye nchi, lakini kiuhalisia mlilishwa Uto only, wenye nchi tulikuwa na jambo letu huko kwa Madiba mida ile mkilishwa hicho kibudu cha comredi Bashite.

Njaa mbaya sana 😂😂😂
View attachment 2812852
Mbona hadi wewe ulikunywa kaka🤣🤣🤣🤣😁😁
 
Ingekuwa kitimoto ningekula, nyie sasa mkaandaaliwa vibudu na comredi Bashite mkapiga mbizi kwenda Kufakamia 😂😂

Wenye nchi hatukimbiliagi misosi ya kafara, hiyo picha uliyoweka unajifariji tu kwa kumvisha mwana Uto mwenzako jezi ya wenye nchi, lakini kiuhalisia mlilishwa Uto only, wenye nchi tulikuwa na jambo letu huko kwa Madiba mida ile mkilishwa hicho kibudu cha comredi Bashite.

Njaa mbaya sana 😂😂😂
Sawa ila roho imekuuma sana sisi kunywa supu
 
Back
Top Bottom