Wengi watashindwa kumtambua huyu ni nani

Na post za wana Uto tangu jana jioni zinadhihirisha wazi kabisa wana suffer from kunywa supu ya kibudu.

Mfatilie hata Labani og utaona ni mgonjwa anayehitaji msaada wa wenye nchi [emoji23][emoji23]
Moja ya sifa za mwanamke ni wivu
 
Ingekuwa kitimoto ningekula, nyie sasa mkaandaaliwa vibudu na comredi Bashite mkapiga mbizi kwenda Kufakamia πŸ˜‚πŸ˜‚

Wenye nchi hatukimbiliagi misosi ya kafara, hiyo picha uliyoweka unajifariji tu kwa kumvisha mwana Uto mwenzako jezi ya wenye nchi, lakini kiuhalisia mlilishwa Uto only, wenye nchi tulikuwa na jambo letu huko kwa Madiba mida ile mkilishwa hicho kibudu cha comredi Bashite.

Njaa mbaya sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
View attachment 2812852
Mbona hadi wewe ulikunywa kaka🀣🀣🀣🀣😁😁
 
Sawa ila roho imekuuma sana sisi kunywa supu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…