Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Wengi kuhusu swala la bandari wanatetea ugali wao maana hawatapitisha magari bila kulipa kodi wala kupunguziwa.
Wengine ninyi wauza madawa mnao pitisha kwa njia ya bandari mnajua mambo yatakuwa magumu na hamtakuwa na uwezo tena wa kutumia njia hiyo ya bandari.
Wengine mnaongea kwakuwa hamna uelewa mnapotoshwa na wajinga ambaoa wanatetea ugali wao acheno mara moja kuwasapoti.
Viongozi wengi uchumi wao upo bandarini na Airport hizo ndio njia yenu kubwa kupitisha magendo, Mama na uwanja wa ndege mpe Mwarabu kabisa.
Wengine ninyi wauza madawa mnao pitisha kwa njia ya bandari mnajua mambo yatakuwa magumu na hamtakuwa na uwezo tena wa kutumia njia hiyo ya bandari.
Wengine mnaongea kwakuwa hamna uelewa mnapotoshwa na wajinga ambaoa wanatetea ugali wao acheno mara moja kuwasapoti.
Viongozi wengi uchumi wao upo bandarini na Airport hizo ndio njia yenu kubwa kupitisha magendo, Mama na uwanja wa ndege mpe Mwarabu kabisa.